Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kabla ya risasi zenu, mbona hatukuwahi kumuona akienda ubelgiji ? Na kama alienda sio kama leo hii kwa check-up ya mara kwa mara.Naona huyu jamaa anaendelea kuchafua upepo wa Tundu Lissu.
Leo kaamka na kingine. Soma asemavyo Emmanuel Ntobi Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga alichokiandika katika mtandao wa X
Kwamba, tuwe na Mwenyekiti wa Chama, ambaye kila baada ya wiki mbili au tatu wanaCHADEMA tunakwenda Airport na media ya Jambo tv kumpokea akitokea nyumbani kwake Ubelgiji.
View attachment 3195127
Nyumba ya kubuKabla ya risasi zenu, mbona hatukuwahi kumuona akienda ubelgiji ? Na kama alienda sio kama leo hii kwa check-up ya mara kwa mara.
Ntobi anatuabisha sana sisi Wasukuma,kama hela za Abdul amekula kimpango wake lakini huku Kanda ya Victoria na Serengeti tunakwenda na Lissu.Naona huyu jamaa anaendelea kuchafua upepo wa Tundu Lissu.
Leo kaamka na kingine. Soma asemavyo Emmanuel Ntobi Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga alichokiandika katika mtandao wa X
Kwamba, tuwe na Mwenyekiti wa Chama, ambaye kila baada ya wiki mbili au tatu wanaCHADEMA tunakwenda Airport na media ya Jambo tv kumpokea akitokea nyumbani kwake Ubelgiji.
View attachment 3195127
Sio lazima yy aende yy alale tu nyumbani na mamsap wake wenye kupendezwa naye wataendaNaona huyu jamaa anaendelea kuchafua upepo wa Tundu Lissu.
Leo kaamka na kingine. Soma asemavyo Emmanuel Ntobi Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga alichokiandika katika mtandao wa X
Kwamba, tuwe na Mwenyekiti wa Chama, ambaye kila baada ya wiki mbili au tatu wanaCHADEMA tunakwenda Airport na media ya Jambo tv kumpokea akitokea nyumbani kwake Ubelgiji.
View attachment 3195127
Punguza ukabila, si sawa unachokifanya, mkuu umejijengea heshima kubwa humu, sio vema kila jambo unaweka ukabila, ifikie wakati ujisikie aibu nafsini mwakoDunia ni Kijiji
Mbona Shujaa Magufuli alikuwa anakaa Chato na akina Dr Mwigullu aliwaapishia huko huko
Rais wa Msumbiji aliongea nae huko huko
Huyu Ntobi ni mchagga wa Machame kweli au ni Mrombo huyu? š¼
Asanteš¤£Naona huyu jamaa anaendelea kuchafua upepo wa Tundu Lissu.
Leo kaamka na kingine. Soma asemavyo Emmanuel Ntobi Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga alichokiandika katika mtandao wa X
Kwamba, tuwe na Mwenyekiti wa Chama, ambaye kila baada ya wiki mbili au tatu wanaCHADEMA tunakwenda Airport na media ya Jambo tv kumpokea akitokea nyumbani kwake Ubelgiji.
View attachment 3195127
Naona huyu jamaa anaendelea kuchafua upepo wa Tundu Lissu.
Leo kaamka na kingine. Soma asemavyo Emmanuel Ntobi Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga alichokiandika katika mtandao wa X
Kwamba, tuwe na Mwenyekiti wa Chama, ambaye kila baada ya wiki mbili au tatu wanaCHADEMA tunakwenda Airport na media ya Jambo tv kumpokea akitokea nyumbani kwake Ubelgiji.
View attachment 3195127
Haujajibu hoja yake lakiniNtobi anatuabisha sana sisi Wasukuma,kama hela za Abdul amekula kimpango wake lakini huku Kanda ya Victoria na Serengeti tunakwenda na Lissu.
lissu ni mwanasiasa hodari ,ni mwanaharakati mzuri ila anahitaji mtu atakayemwambia aende taratibu
Huyu ntobi ni wa kuto...Naona huyu jamaa anaendelea kuchafua upepo wa Tundu Lissu.
Leo kaamka na kingine. Soma asemavyo Emmanuel Ntobi Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga alichokiandika katika mtandao wa X
Kwamba, tuwe na Mwenyekiti wa Chama, ambaye kila baada ya wiki mbili au tatu wanaCHADEMA tunakwenda Airport na media ya Jambo tv kumpokea akitokea nyumbani kwake Ubelgiji.
View attachment 3195127