Ntobi na Yericko wanajua Chadema ilianzishwa 2019, kwahiyo ni haki yao kumtetea Mbowe

Ntobi na Yericko wanajua Chadema ilianzishwa 2019, kwahiyo ni haki yao kumtetea Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Shinyanga Mh Ntobi amesema Chadema iliasisiwa 2019

Ntobi hajarekebisha Kauli licha ya Wajumbe kuguna

Chadema Kuna vituko sana 😄😄

Mimi niliingia Chadema 1993, nimeshangaa sana 🐼
It's called slip of the tongue!
 
Asee nakubali sababu Mbowe hajawahi kuwa mjinga kiasi hiki mpaka naona aibu kuwa shabiki ake, ina maana hata familia yake ameshindwa kuwasikiliza au ni ule mfumo ndume? nilipoona MMM, Malisa G na Boni Yai wamerudi nyuma kumtetea nikajua hapa kuna shida
Unadhani Vitabu vya Yeriko vingeshinda Tuzo bila ndumba 😂😂😂

Mbowe karogwa siyo Bure🐼
 
Nimesikitika sana. Pamoja na sera nzuri alizonazo lisu na watu wenye uwezo wa kujenga hoja. Nimeota eti mbowe ameshinda uchaguzi na kuna figisu zitafanyika kumuhujumu lisu asishinde.
Hata akishinda itajulikana ni figisu! Maana haungwi mkono na wengi! Wewe fikiria kwenye ule mdahalo ilikuwa smart people( lissu) vs zidumu fikra za mwenyekiti(mbowe)
Ila nimalizie tu Yerico ni kilaza plus.
 
Hata akishinda itajulikana ni figisu! Maana haungwi mkono na wengi! Wewe fikiria kwenye ule mdahalo ilikuwa smart people( lissu) vs zidumu fikra za mwenyekiti(mbowe)
Ila nimalizie tu Yerico ni kilaza plus.
na ndo timu mbowe inamtegemea
 
Back
Top Bottom