Ntobi na Yericko wanajua Chadema ilianzishwa 2019, kwahiyo ni haki yao kumtetea Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Shinyanga Mh Ntobi amesema Chadema iliasisiwa 2019

Ntobi hajarekebisha Kauli licha ya Wajumbe kuguna

Chadema Kuna vituko sana πŸ˜„πŸ˜„

Mimi niliingia Chadema 1993, nimeshangaa sana 🐼
It's called slip of the tongue!
 
Unadhani Vitabu vya Yeriko vingeshinda Tuzo bila ndumba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mbowe karogwa siyo Bure🐼
 
Nimesikitika sana. Pamoja na sera nzuri alizonazo lisu na watu wenye uwezo wa kujenga hoja. Nimeota eti mbowe ameshinda uchaguzi na kuna figisu zitafanyika kumuhujumu lisu asishinde.
Hata akishinda itajulikana ni figisu! Maana haungwi mkono na wengi! Wewe fikiria kwenye ule mdahalo ilikuwa smart people( lissu) vs zidumu fikra za mwenyekiti(mbowe)
Ila nimalizie tu Yerico ni kilaza plus.
 
Hata akishinda itajulikana ni figisu! Maana haungwi mkono na wengi! Wewe fikiria kwenye ule mdahalo ilikuwa smart people( lissu) vs zidumu fikra za mwenyekiti(mbowe)
Ila nimalizie tu Yerico ni kilaza plus.
na ndo timu mbowe inamtegemea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…