Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Hatimaye Serikali ya Kenya imevirejesha hewani vituo vya runinga vya NTV na KTN kwa wateja wa kulipia kupitia DSTV, GoTV na ZUKU baada ya kuzimwa kwa siku 7 kutokana na kurusha LIVE tukio la kuapishwa Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga.
Wateja wanaopokea huduma hizo bila malipo bado hawajarejeshewa huduma.
Kituo cha Citizen Tv bado hakijarejeshwa hewani pasipo sababu zozote kuelezwa.
Wateja wanaopokea huduma hizo bila malipo bado hawajarejeshewa huduma.
Kituo cha Citizen Tv bado hakijarejeshwa hewani pasipo sababu zozote kuelezwa.