Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
Hivi karibu baada ya kusambaa kwa video fupi mtandaoni ikimuonyesha sheikh aliekuwa akinadi mafuta na akidai kuwa ni mafuta ya upako.
Hatimae mhadhiri wa kimataifa SHEIKH NUDREEN KISHK, amekuja na mada ninayosomeka JE, KATIKA UISLAM KUNA UPAKO?
OCT 18, IJUMAA HII MASJD IHSAAN TEMEKE VETENARY, mhadhiri wa kimataifa nudreen kishk anaenda kutupatia jibu je katika uislam kuna upako?
Hatimae mhadhiri wa kimataifa SHEIKH NUDREEN KISHK, amekuja na mada ninayosomeka JE, KATIKA UISLAM KUNA UPAKO?
OCT 18, IJUMAA HII MASJD IHSAAN TEMEKE VETENARY, mhadhiri wa kimataifa nudreen kishk anaenda kutupatia jibu je katika uislam kuna upako?