Nudreen Kishk kujibu kama katika Usilam kuna upako

Shehe Kishik yuko vizuri sana kwenye theory za kuuelezea uislamu lakini hakuna shehe dhurumati mali za waislamu muslamu akifa kama shehe kishik kudhulumu warithi
Muislamu akiumwa atajitia kumtibia akiona anakaribia kufa au mzee au mjane atafanya porojo zote aandike wasia mali yuko nazo ziwe kwa jina la taasisi yake au yeye huku akipiga video na picha nk kusaini mikataba na kurekodi makubaliano
Wengi kawaliza sana huyo shehe Kishik
 
Yaani Mungu wako wamtundike kama Nguo hafalu mimi mwenye Mungu untachable niumie!! kijana huko serious kweli ? mimi siwezi kuwa na Mungu anapigwa makofi, hata kiongozi wangu wa mtaa ukimpiga makofi ni jela, sasa kuna kamungu kamepigwa makofi na watu anaodai kuwaumba mwenyewe tena kichekesho kingine eti kuwakomboa kutoka kwenye vifungo ambavyo haviwezi kumdhuru huyo Mungu ahahahah, wewe umepigwa huna Mungu , Allah katulia hakuna mtu anaweza rusha hata mate
 
Kwanini hilo swala asilitolee ufafanuzi Leo,?
 
Sawa amini unachokiamini wala hukatazwi ila dhihaka kwa dini nyengine za nini?!
 
Na huo uongozi wa msikiti huwa wanaitafuna mno sadaka
 
Hakuna Mungu anaweza pigwa kofi na kiumbe chake, hata baba yako mzazi huwezi mjibu hovyo achilia mbali kumpiga makofi,, Allah ni Mungu kweli, huwezi kukuta anafanyiwa mambo ya hovyo kutundikwa kama mzoga uliokufa kwa kugongwa na gari, eti Mungu katundikwa kutukomboa ujinga mtupuuu, dunia yake hakukomboe kwa viumbe wake mwenyewe, wewe ukapimwe akili kuamini Mungu wa hovyo kama huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…