UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,530
- 1,370
Mambo ya chips zege hayo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru ndugu muongozaji kwa kujitambulisha kwamba na wewe ni mwanaume wa DarAisee....Hii sasa imezidi. Hata tunaonyamaza inabidi tuongee tu. Hakuna namna !!! Ila dizaini wanaume wa Dar inaelekea sisi ni mwisho wa matatizo ya kimapenzi.
Nimebaini kuwa hawakauki midomoni mwa wa dada wa mikoani. Wengi wao wanapigana vikumbo kutaka kutoka mikoani kuja Dar huku huku ili wajipimie wenyewe vinono. Labda wameona wanavyopewa wakikutwa huko mikoani haviwatoshi. Sio jambo baya kwasababu inaonyesha ku-appreciate treatment wanayopewa kunako 6*6 na nje ya uwanja pia.
Hata hivyo kinachonishangaza ni wimbi la wanaume wa mikoani nao kuwatajataja wanaume wa Dar. Hii sio hulka ya wanaume kamili banaaaa aaaarrgh....hasa wa kiafrica. Ha ha haah!! Hapa mimi napata wasiwasi kidogo. Je ni kwasababu ya wivu wa kuchukuliwa dada/wapenzi zao/wao (maana wanaume wa Dar ni sukari ya warembo!! ha ha) au kuna tatizo jingine tusilolidhania kwa hawa wanaume wa mikoani?
Yeah, maana it can be very worrisome si tunaona watu wanajitokeza siku hizi kwenye media kujitangazia tabia mbaya walizojifunzia mikoani. Labda shemeji zetu wa mikoani wakiwakilishwa na ndugu yetu mleta thread GRAPHIX MASTER watueleze huko mikoani wamekumbwa na nini kiasi cha kuvutiwa sana kuwatajataja wanaume wa shoka wa Dar?? Wanaume wa mikoani acheni kulialia banaa. Sisi ni ndugu wakuu.Ha ha ha ha ha haaaah .
Mmmh wanaume wa mkoa ndio mpango. Janaume la dar chips yai kimoko dk 0 ulimi nje. Kwa taarifa 2 wanawake wa dar wanachepuka na wanaume wa mikoaniAisee....Hii sasa imezidi. Hata tunaonyamaza inabidi tuongee tu. Hakuna namna !!! Ila dizaini wanaume wa Dar inaelekea sisi ni mwisho wa matatizo ya kimapenzi.
Nimebaini kuwa hawakauki midomoni mwa wa dada wa mikoani. Wengi wao wanapigana vikumbo kutaka kutoka mikoani kuja Dar huku huku ili wajipimie wenyewe vinono. Labda wameona wanavyopewa wakikutwa huko mikoani haviwatoshi. Sio jambo baya kwasababu inaonyesha ku-appreciate treatment wanayopewa kunako 6*6 na nje ya uwanja pia.
Hata hivyo kinachonishangaza ni wimbi la wanaume wa mikoani nao kuwatajataja wanaume wa Dar. Hii sio hulka ya wanaume kamili banaaaa aaaarrgh....hasa wa kiafrica. Ha ha haah!! Hapa mimi napata wasiwasi kidogo. Je ni kwasababu ya wivu wa kuchukuliwa dada/wapenzi zao/wao (maana wanaume wa Dar ni sukari ya warembo!! ha ha) au kuna tatizo jingine tusilolidhania kwa hawa wanaume wa mikoani?
Yeah, maana it can be very worrisome si tunaona watu wanajitokeza siku hizi kwenye media kujitangazia tabia mbaya walizojifunzia mikoani. Labda shemeji zetu wa mikoani wakiwakilishwa na ndugu yetu mleta thread GRAPHIX MASTER watueleze huko mikoani wamekumbwa na nini kiasi cha kuvutiwa sana kuwatajataja wanaume wa shoka wa Dar?? Wanaume wa mikoani acheni kulialia banaa. Sisi ni ndugu wakuu.Ha ha ha ha ha haaaah .
Kupiga mpunga kwa mambo ya kichoko huo ndo uanaume wa darWe lialia tu hapa wakati mwenzako katumie fursa kupata kiki na anapiga mpunga!
Wenyewe wanaita chipsi zege, mwezi uliopita Clouds waliwaandalia sherehe ya kula chipsMmmh wanaume wa mkoa ndio mpango. Janaume la dar chips yai kimoko dk 0 ulimi nje. Kwa taarifa 2 wanawake wa dar wanachepuka na wanaume wa mikoani
Wewe yaite ya kichoko,mwenzako ndio hivyo anapiga hela!Unadhani anapata hasara gani kama wewe unamfikiria hivyo wakati yeye mwenyewe anajitambua ni nin anafanya!Hiyo ni sanaa,wanafanya wengi tu!Hata diamond alikuja na ngoma kama Nimpende Nani,nataka kulewa zote hizo akizungumzia yaliyomkumba!Pia kuna ngoma ametoa juzi kati na Ney wa mitego inazungumzia mapenzi na pesa,visa vya historia ya mapenzi vimeendelea kuwemo!Kama pale anapoambiwa alihonga Morano lakini bado akatoswa!Kupiga mpunga kwa mambo ya kichoko huo ndo uanaume wa dar
Lazima uunge mkono wanaume wa dar wenzakoWewe yaite ya kichoko,mwenzako ndio hivyo anapiga hela!Unadhani anapata hasara gani kama wewe unamfikiria hivyo wakati yeye mwenyewe anajitambua ni nin anafanya!Hiyo ni sanaa,wanafanya wengi tu!Hata diamond alikuja na ngoma kama Nimpende Nani,nataka kulewa zote hizo akizungumzia yaliyomkumba!Pia kuna ngoma ametoa juzi kati na Ney wa mitego inazungumzia mapenzi na pesa,visa vya historia ya mapenzi vimeendelea kuwemo!Kama pale anapoambiwa alihonga Morano lakini bado akatoswa!
Sanaa ni ubunifu,acha ushamba!
Waganga wa mikoani wanakula hela zao sana kwa kuwauzia dawa za kujiboostJaman vijanaume vya Dar mnakeraje? Looh mnapenda ukitonga mbaya, halafu muache Kula chips Yao basi, mnagongewa Sana hivo viwanawake vyenu ati
As long as anatengeneza pesa,namuunga mkono!Kuna watu wanajifanya wagumu wamepotea kwenye game,ulizia 20%,huwezi amini kuwa ndio msanii wa kwanza kuchukua tuzo 5 hapa bongo!Lazima uunge mkono wanaume wa dar wenzako
Kupotea kwa 20% usihusianishe na huo uchoko, bangi zake ndio zimempoteza, maana watu walimkubali bila kiki za mademAs long as anatengeneza pesa,namuunga mkono!Kuna watu wanajifanya wagumu wamepotea kwenye game,ulizia 20%,huwezi amini kuwa ndio msanii wa kwanza kuchukua tuzo 5 hapa bongo!
Game imechange,msanii usipobadilika hutoboi!
Ndio uelewe game inachange,wacha wivu!Kupotea kwa 20% usihusianishe na huo uchoko, bangi zake ndio zimempoteza, maana watu walimkubali bila kiki za madem