njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Siku ya Wajinga (tarehe 01 Aprili) inahusu hapa.Yaani hii ni good news kutoka kwa mwandishi nguli wa sports (siyo chambuzi la mchongo) aitwaye Nuhu Adams....
kwa kweli hapa kutakuwa na chama, sakho, luis miqquisone anayerudi kwa mkopo, Adebayor beki jipya la congo,
safi sana viongozi wangu sasa imebaki kuangusha kiungo kabaji moja linaloweza cheza namba nane pia
View attachment 2171587
Hawwamini macho yaooooooo...kamati ya mapookeziii hawaamiiniii macho yao.....kimataifa wanapigwa nje ndani...hawaaamiiini machooo yaoooo....round ya kwanza chaliiiiiiiii..hawaaamiiinii macho yaoooPerfect Chikwende hamumtaki tena?
Pole sana mkuu kwa hasara unayoingiaga,vipi sasa muunganiko uko fresh safari hii siyo kwa jili ya rivers utd?Kipigo kingine kwa Simba, wakala anavuta pesa sisi twaingia hasara
elewa tu kwamba na luis miqquisone anarudi kwa mkopo, april fools mwisho saa nne bwashee na NUHu adams ahana maujinga ya kina oscar oscar ni watu genuine na wana akili timamu siyo haya makorokocho ya kibongoSiku ya Wajinga (tarehe 01 Aprili) inahusu hapa.
NASIKIIAAAAA KELEEEEE WAMEEEEEEEPIGWA....HAWAAAAAMINIII MACHO YAOOOOOmakolo mta danganjwaa kwa kisingizio cha mbumbuu mbuu day, alafu sijui ni kwanini kila muongo ni lazima awadanganye makolo???
Hawaamini hawaaminiii.....makolo mta danganjwaa kwa kisingizio cha mbumbuu mbuu day, alafu sijui ni kwanini kila muongo ni lazima awadanganye makolo???
Kweli sisi ni mbumbumbu. Tuliambiwa dirisha dogo Chama atarudi Simba, badala yake akaenda Yangamakolo mta danganjwaa kwa kisingizio cha mbumbuu mbuu day, alafu sijui ni kwanini kila muongo ni lazima awadanganye makolo???
Kweli sisi ni mbumbumbu. Tuliambiwa dirisha dogo Chama atarudi Simba, badala yake akaenda Yanga
Punguza shobo umemsifiiiiia Nuhu Adams wako haya huyo hapoYaani hii ni good news kutoka kwa mwandishi nguli wa sports (siyo chambuzi la mchongo) aitwaye Nuhu Adams kwa kweli hapa kutakuwa na chama, sakho, luis miqquisone anayerudi kwa mkopo, Adebayor beki jipya la congo.
safi sana viongozi wangu sasa imebaki kuangusha kiungo kabaji moja linaloweza cheza namba nane pia
View attachment 2171587
Nadhani leo ilitakiwa kuwa makolo Day[emoji205]View attachment 2172114
Hahah Makolo Day, Kupatwa Kwa Makolo Duniani.Nadhani leo ilitakiwa kuwa makolo Day
Kolo hili limechanganyikiwa.!