njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Yaani hii ni good news kutoka kwa mwandishi nguli wa sports (siyo chambuzi la mchongo) aitwaye Nuhu Adams kwa kweli hapa kutakuwa na chama, sakho, luis miqquisone anayerudi kwa mkopo, Adebayor beki jipya la congo.
safi sana viongozi wangu sasa imebaki kuangusha kiungo kabaji moja linaloweza cheza namba nane pia
safi sana viongozi wangu sasa imebaki kuangusha kiungo kabaji moja linaloweza cheza namba nane pia