Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
Yaani hii ni good news kutoka kwa mwandishi nguli wa sports (siyo chambuzi la mchongo) aitwaye Nuhu Adams kwa kweli hapa kutakuwa na chama, sakho, luis miqquisone anayerudi kwa mkopo, Adebayor beki jipya la congo.
safi sana viongozi wangu sasa imebaki kuangusha kiungo kabaji moja linaloweza cheza namba nane pia
View attachment 2171587
Mbu Mbu Mbu