Nuhu Adams adai simba ishamalizana na Asec kuhusus Stephanie Ki Aziz

Nuhu Adams adai simba ishamalizana na Asec kuhusus Stephanie Ki Aziz

Yaani hii ni good news kutoka kwa mwandishi nguli wa sports (siyo chambuzi la mchongo) aitwaye Nuhu Adams kwa kweli hapa kutakuwa na chama, sakho, luis miqquisone anayerudi kwa mkopo, Adebayor beki jipya la congo.

safi sana viongozi wangu sasa imebaki kuangusha kiungo kabaji moja linaloweza cheza namba nane pia

View attachment 2171587

Mbu Mbu Mbu
 
Hawwamini macho yaooooooo...kamati ya mapookeziii hawaamiiniii macho yao.....kimataifa wanapigwa nje ndani...hawaaamiiini machooo yaoooo....round ya kwanza chaliiiiiiiii..hawaaamiiinii macho yaooo
😅😅😅😅😅
 
Yaani hii ni good news kutoka kwa mwandishi nguli wa sports (siyo chambuzi la mchongo) aitwaye Nuhu Adams kwa kweli hapa kutakuwa na chama, sakho, luis miqquisone anayerudi kwa mkopo, Adebayor beki jipya la congo.

safi sana viongozi wangu sasa imebaki kuangusha kiungo kabaji moja linaloweza cheza namba nane pia

View attachment 2171587
Yaani huyo aje kucheza mchangani.
 
Back
Top Bottom