Nuhu Mziwanda na Shilole ni Sikio lisilosikia dawa, Wachafua tena watu kwa picha zao chafu mtandaoni

Nuhu Mziwanda na Shilole ni Sikio lisilosikia dawa, Wachafua tena watu kwa picha zao chafu mtandaoni

Mie nimependa kidhungu tu hapa....
 

Attachments

  • 1428760420882.jpg
    1428760420882.jpg
    72.8 KB · Views: 895
Hawa nao wanatafuta kuongelewa nyie hamja waelewa tu
 
Sema huyu NUHU siku wanabwagana atachezea Matusi ila kakikua kataelewa tuu umri unamsumbua.
 
Inafaa wangepewa msaada wa kupelekwa hospitali inawezekana wanatatizo si bure
 
Boya huyo demu ndo awe mbunge huyu, akipita na akaw mbunge atanshangaz sana
 
mnafurahia wakiweka hizi picha. Msingekuwa mnawaanzishia thread za kuwapa kiki wangeacha kupost. Ila sababu wanajua wana customers wengi hawawezi kuacha
 
Ambae hajawahi shikwa kama shilole alivyo shikwa na Nuhu aje hapa! Na ambae haja wahi mshika mtu hivyo naye aje ape tumuoneee afu tuwapige maswali maana sisi wa bongo tumejariwa midomo penyewe hatulipii
 
ivi shiloli kule chini ya miguu kavaa viatu vyeusi au macho yangu tu??
 
Back
Top Bottom