Nukuu ya leo 19-9-2016

Sukari Yenu

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2014
Posts
1,698
Reaction score
1,257
"Mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na taifa lisilokuwa na chama cha upinzani ......```

Na mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na taifa kuwa na kikundi cha waasi kinachoendesha vita ya wenyewe kwa wenyewe_[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"

Tafakari, Chukua hatua.
 
Naona unajaribu kujustfy hulka yako.
 
Mm cna mchepukoooo namjalii Sana aliyezishika heartbeat Zangu asije akanisababishia nikastop kubreath bureeee
 
Kwa mimi mtawa (sister)
Unaniweka kwenye kundi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…