NUKUU ya Leo: Lincoln na udanganyifu.

Miwatamu

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
1,450
Reaction score
489
Unaweza kumdu kuwadanganya baadhi ya watu wakati wote, na unaweza kumdu kuwadanganya watu wote nyakati fulani. Lakini huwezi kumdu kuwadanganya watu wote wakati wote.
Je, sasa watanzania tuamini kuwa yote tunayoelezwa ni ya ukweli au tunadanganywa?
Tufanyeje sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…