mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Je, kuna uonevu unaopitia katika nchi yako , ofisini, makazi au mahali popote?
Je, umewahi kuripoti katika ngazi zinazohusika lakini bado uonevu unaendelea?
Kama jibu ni NDIYO, Basi ujue kiongozi husika wa maeneo hayo aliyepewa mamlaka katika eneo hilo amepungukiwa na akili!
Ukiona Taifa linaonea wananchi wake, askari wakiwashughulikia wananchi wasio na hatia yoyote aidha kwa kuwapiga na kuwabambikiza makesi makubwa, huku mikakati ikipangwa kumkandamiza Mwananchi kwa uonevu, basi kuna haja ya kuwa na mashaka na akili ya kiongozi wa juu kabisa mwenye mamlaka!
Nini kifanyike:
Simple sana, shughulika na akili ya kiongozi wa eneo hilo aidha kwa kuombea akili yake au vinginevyo , limradi tu akili iliyopunguka imrejee kichwani!
Je, umewahi kuripoti katika ngazi zinazohusika lakini bado uonevu unaendelea?
Kama jibu ni NDIYO, Basi ujue kiongozi husika wa maeneo hayo aliyepewa mamlaka katika eneo hilo amepungukiwa na akili!
Ukiona Taifa linaonea wananchi wake, askari wakiwashughulikia wananchi wasio na hatia yoyote aidha kwa kuwapiga na kuwabambikiza makesi makubwa, huku mikakati ikipangwa kumkandamiza Mwananchi kwa uonevu, basi kuna haja ya kuwa na mashaka na akili ya kiongozi wa juu kabisa mwenye mamlaka!
Nini kifanyike:
Simple sana, shughulika na akili ya kiongozi wa eneo hilo aidha kwa kuombea akili yake au vinginevyo , limradi tu akili iliyopunguka imrejee kichwani!