Nukuu ya Leo

hekimatele

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
9,890
Reaction score
2,795
"Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa," Mateo Qaresi (July 2013).
 
Haya mambo wanayaweza sana Zambia.
Kinga ya Dunia kwanini wasiweke ya kufa?
 
 
Haya mambo wanayaweza sana Zambia.
Kinga ya Dunia kwanini wasiweke ya kufa?

Ha ha ha ha ha ha ha ha..
Sina hakika sana kama anachotaka ndugu Qaresi anaweza kuki contain
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…