Nukuu ya Leo

Nukuu ya Leo

hekimatele

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
9,890
Reaction score
2,795
"Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa," Mateo Qaresi (July 2013).
 
Haya mambo wanayaweza sana Zambia.
Kinga ya Dunia kwanini wasiweke ya kufa?
 
"Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa," Mateo Qaresi (July 2013).

Mukulu! Pamoja na kuondoa kinga hiyo, suluhisho pekee ni kupata Marais ambao wana uadilifu, ndani ya mapungufu ya kibinadamu, maana hebu niambie katika mazingira ya Afrika...hivi tunaweza kumpata Rais (waliopita na waliopo) ambaye hana lawama?
Hoja: Tunampata wapi mtu wa aina hii?
 
Haya mambo wanayaweza sana Zambia.
Kinga ya Dunia kwanini wasiweke ya kufa?

Ha ha ha ha ha ha ha ha..
Sina hakika sana kama anachotaka ndugu Qaresi anaweza kuki contain
 
Mukulu! Pamoja na kuondoa kinga hiyo, suluhisho pekee ni kupata Marais ambao wana uadilifu, ndani ya mapungufu ya kibinadamu, maana hebu niambie katika mazingira ya Afrika...hivi tunaweza kumpata Rais (waliopita na waliopo) ambaye hana lawama?
Hoja: Tunampata wapi mtu wa aina hii?

nakubaliana na wewe ila ukiangalia kiundani utagundua kuna lawama ambazo ni very minor na nyingine ni vere major. As a leader lazima u deal na zile lawama ambazo unajua politically zitakuwa liability kwako na uongozi wako. Angalia kwa makini aina ya uongozi tulionao hapa Tz kwa sasa kisha niambie kama hujaona mpaka sasa lawama zinazoimbwa kwenye magazeti kila kukicha.
Do your homework mkuu. Ukiweza kusanya usipoweza ipotezee mark mwenyewe.
 
Back
Top Bottom