Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ilikuwa Juni 20,2018 kwenye hafla iliyoandaliwa na Watunga sheria kumuaga & kumkaribisha ( Abdulhaman Kinana & Dkt Bashiru Ally Kakurwa)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati huo huo watoto wetu wanajengewa matundu ya vyoo kwa msaada wa USAID.Huyu huyu Kinana kwake dollar za kimarekani 75 million siyo kitu mtu wangu wa karibu alimsikiaga akijigamba.
Huyu huyu Kinana hadi wazungu wa Canada wanamtetemekea na kumuogipa jinsi alivyo na mali na hela za kutisha. Kanunua, properties, estates hadi visiwa vidogo vidogo kwenye nchi ya pili kwa ukubwa duniani.
Yani huyu jamaa assets anazo Canada za kutisha Calgary Edmonton na Toronto. Kuna maapartments za kufa mtu uswazi Toronto malton, etobicoke yorkshire.Wakati huo huo watoto wetu wanajengewa matundu ya vyoo kwa msaada wa USAID.
Hivi Bashiru alifanyiwa hafla ya kuagwa na kumkabidhi Chogolo?Ilikuwa Juni 20,2018 kwenye hafla iliyoandaliwa na Watunga sheria kumuaga & kumkaribisha ( Abdulhaman Kinana & Dkt Bashiru Ally Kakurwa)
View attachment 1887200
Alisusa jins Trump alivyo susia BidenHivi Bashiru alifanyiwa hafla ya kuagwa na kumkabidhi Chogolo?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Tuendelee kuchagua CCMWakati huo huo watoto wetu wanajengewa matundu ya vyoo kwa msaada wa USAID.
Huyu huyu Kinana kwake dollar za kimarekani 75 million siyo kitu mtu wangu wa karibu alimsikiaga akijigamba.
Huyu huyu Kinana hadi wazungu wa Canada wanamtetemekea na kumuogipa jinsi alivyo na mali na hela za kutisha. Kanunua, properties, estates hadi visiwa vidogo vidogo kwenye nchi ya pili kwa ukubwa duniani.
Alafu mtu kama huyu leo anaonekana wa maana katika nchi, daaaaah nchi yangu weeeeeHuyu huyu Kinana kwake dollar za kimarekani 75 million siyo kitu mtu wangu wa karibu alimsikiaga akijigamba.
Huyu huyu Kinana hadi wazungu wa Canada wanamtetemekea na kumuogipa jinsi alivyo na mali na hela za kutisha. Kanunua, properties, estates hadi visiwa vidogo vidogo kwenye nchi ya pili kwa ukubwa duniani.
OkayIlikuwa Juni 20,2018 kwenye hafla iliyoandaliwa na Watunga sheria kumuaga & kumkaribisha ( Abdulhaman Kinana & Dkt Bashiru Ally Kakurwa)
View attachment 1887200
Wewe ni miongoni mwa wapumbavu wachache wanaoamini umaskini ndiyo uzalendo?Huyu huyu Kinana kwake dollar za kimarekani 75 million siyo kitu mtu wangu wa karibu alimsikiaga akijigamba.