magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
“Hakuna kinachoshindikana ukiamua katika soka, alipambana na kuzipambania timu alizopita kitu kilichofanya aonekane zaidi. Nampongeza ‘Popa’ naamini ametufungulia njia; sasa kila mmoja atapambana kwa nafasi yake kusaka nafasi ya kucheza huko,” anasema Ajibu aliyekataa kujiunga na TP Mazembe mwanzoni mwa msimu huu.