magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
"Kushinda washinde #Simba wakishinda #Yanga
wameroga Yaani siku zote mchawi akishindwa
anajua amerogwa mawazo ya wachawi yanakua
ni yakichawi tu...nani asiejua SIMBA ndo timu
inaroga kuliko timu yoyote Duniani kuanzia
wachezaji mpaka viongozi wa Simba ni
vibwengo"
wameroga Yaani siku zote mchawi akishindwa
anajua amerogwa mawazo ya wachawi yanakua
ni yakichawi tu...nani asiejua SIMBA ndo timu
inaroga kuliko timu yoyote Duniani kuanzia
wachezaji mpaka viongozi wa Simba ni
vibwengo"