Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Pole Mkuu, Hii Ni Lose Kubwa Sana Kwako

Safari Ya Kuanza Kutafuta Idea Tena Uka Implement Na Ikaanza Ku Generate Some Profit Ni Ngumu.

Goodluck
Ata faiza analalakika, Mimi nimeacha kabisa kubeba vitu vya kontena badala yake na dili na vitu vya kubeba mwenyewe na ndege now Hali ya kusafirisha mizigo ina changamoto nyingi so ili usigombane na wateja ni Bora kusema ukweli tu

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Covid imeleta changamoto nyingi sana

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Yes nice put alipokosea kukaa Kimya kwasababu kimya kina maana nyingi

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Kweli oda inaweza ikawa haijafika lakini yeye pia ikawa sio kosa lake

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Pole Mkuu, Hii Ni Lose Kubwa Sana Kwako

Safari Ya Kuanza Kutafuta Idea Tena Uka Implement Na Ikaanza Ku Generate Some Profit Ni Ngumu.

Goodluck
Tatizo linaanzia pale tu anapopokea order/muamala, ana-kublock, kabla hata hujaanza kumsumbua, ndo mana tunamtafsiri ni tapeli kama matapeli wengine, na huenda ana ID nyingi humu za kuwarubuni wateja kuwa amepokea mzigo.
 
Tatizo linaanzia pale tu anapopokea order/muamala, ana-kublock, kabla hata hujaanza kumsumbua, ndo mana tunamtafsiri ni tapeli kama matapeli wengine, na huenda ana ID nyingi humu za kuwarubuni wateja kuwa amepokea mzigo.
Kama anafanya Ivo tafsiri ni iyo Tu hakuna nyengine

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu uko sawa, kabla hajapokea muamala, mnachat fresh tu, akishapokea, anakublock ndo hapo inapotia mashaka.
Tena mwanzo ilikua fresh sana lakini nilivotuma pesa Tu wakanipa tracking number na wakanitapeli tena kudadeki. Sasa ishu ilikua jamaa wake copy kampuni moja kila kitu yaan hauwez kuchomoka mpk wakupige. Lakini ndo nasoma ndo life ilivyo maisha ya biashara lazima ufanye makosa afu uendelee mbele kila kitu kina gharama zake

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
 
siku hizi simu za redmi hazipatikani zinazokuja TZ kutoka aliexpress sijui kunashida gani
 
siku hizi simu za redmi hazipatikani zinazokuja TZ kutoka aliexpress sijui kunashida gani
Kwa njia ya posta wauzaji wengi hawatumi kwa sasa.

Njia pekee ni kutumia njia ya haraka , ambapo DHL/FEDEX/ ARAMEX watahusika, Changamoto ni
1. Gharama ya kusafirisha ni kati ya US $22 hadi 44 itategemea na muuzaji husika
2. Ikifika nchini kuna maswala ya
  • Clearance
  • VAT/TAX mamalaka husika wanfutailia kwa ukaribu sana kila package
Hivyo gharama inaongezeka, Tofauti na awali kwa njia ya posta
 
Mkuu nimeangalia kutoka kwenye website yao xaomi naona wanafanya shipping bure nime calculate gharama inakuwa sh 534000 kwa redmi note 9 pro max unadhani inaweza kuwa nafuu au pia kitakuwa na kodi, je kodi inaweza kuwa kama shilling ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…