Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

ahsante mkuu. next week bosi akinipa changu ntakutafuta unisaidie kununua Novel.
Ni vyema ukapata Kindle PaperWhite - Hii ni device maalum nzuli kwa walio addicted na novel /vitabu kwa ujumla.




Ambapo utakuwa ukinunua vitabu toka amazon na instantly unakipata katika kifaa chako na kuanza kusoma hapo kwa hapo.
 
mkuu mi nataka kununua domain ya .com kwa 0.99 USD je utanchaji sh ngapi?
Huduma ya PAY4ME, kwa kiwango cha malipo mtandaoni chini ya USD2.5, Huwa ni BURE, Hakuna service charge utakayonilipa.

Kwa domain ya .COM kwa usd 0.99, utalipia TSH 2,500 Tu, kwa utaratibu tajwa hapo juu.


Kwa nini iwe tsh2,500 na si 2,186 tu? Sababu kuna makato kwa huduma ya kuhamisha fedha.
 

asante mwalimu ngoja nikucheki
 
Mimi nahitaj taa za gari aina ya harrier head lamp na fog lamp za corolla Axio. Ebu nipe mchakato mkuu
Fuata hatua hizi ili kupata bidhaa unayohitaji

1. Fungua google .com

2. Kwenye serach box weka hizi keyword Fog Lamp Toyota corolla axio mfano.

3. Kagua links, utaona bei tofauti tofauti, chagua ile itakayofaa

4. Au waweza fungua moja kwa moja EBAY .com kisha ukaingiza hizo key word.

5. Baada ya kupata unachohitaji, Copy link yake iweke hapa au nitumia kwa njia tajwa hapo juu

6. Then ndipo mchakatop wa kuifikisha Tz bidhaa husika unaanza
 
Duuuuuuh huyu ni yule yule wa Qsat na account za kichina za paytv ! tahadhari hawa watu wana maneno matamu sana but mwisho wake ni kilio kwa mteja!
Alikutapeli nn mkuu fungukaa i hv been known him for almost 4 years toka enzi za tunnelguru na huawei phone unlocking jamaa hana tamaa za kijingaa km unavofikir ww mkuu ungekuta malalamiko kedekede km angekuwa na tabia hizoo tena na wana jf wa sa hv wangemfungulia na uzi kabisaaa bt jamaa anajaribu kujijengea cv yake ya kibiashara since day one i saw him hana tatizo mkuu!
 
Duuuuuuh huyu ni yule yule wa Qsat na account za kichina za paytv ! tahadhari hawa watu wana maneno matamu sana but mwisho wake ni kilio kwa mteja!

Acha kufkiria mambo kwa kutumia makalio ndugu, usipende kukariri maisha kama unavyokariri kila siku dogo.

Kama umeingizwa mjini na watu wengine huo ubwege na ujinga ni wako lakini sio kwa Mwl.RCT coz nimeshanunua kwake kwa mtindo wa aina hii zaidi ya mara 2 na mzigo wangu nimeupata bila shaka.

Jamaa ni muaminifu na nampongeza kwa huduma zake kwa jinsi anavyozifanya tangu pdproxy, tunnelguru mpk online shopping jamaa anajua anachokifanya uspende kukariri maisha dogo coz maisha hayakaririwi kama unavyokariri wewe, bwege wee.
 
Mwl.RCT nahitaji kitabu hicho hapo chini. amazon nimeona paperback mpya zinauzwa dola 8+3.99 shipping. natakiwa kuwa na Tsh ngapi? nipo Mbeya.


nataka na hardcover ya hii novel nimeona amazon used ni dola 6.

 
Mwl.RCT nahitaji kitabu hicho hapo chini. amazon nimeona paperback mpya zinauzwa dola 8+3.99 shipping. natakiwa kuwa na Tsh ngapi? nipo Mbeya.


nataka na hardcover ya hii novel nimeona amazon used ni dola 6.

Nipe link zake kwa PM pls
 


Hongera kaka kwa kuwaletea watu huduma hii wale wanaohitaji....mnaandika post hii kuwatoa watu wasiwasi wale wenye shaka na wewe.

Huyu jamaa ni mwaminifu 101% na i confidently vouch for him...so tumieni huduma zake kwa amani kabisa.
 
Hongera, lakini tunahitaji ushuhuda zaidi kwa watu uliowahudumia. Tumia verified user, na waombe mods kwa humu jf wakudhamini. Biashara na waafrica ni pasua kichwa, watu sio waaminifu kabisa na wengine ni wezi. Ungefungua kampuni na uwe na address inayoeleweka ingeongeza uaminifu kwako. Pili, jaribu kulink links zako na zile za TRA zinazohusu kodi kwa bidhaa kutoka nje. Nimeiona calculator ya TRA magari ni hatari. Kodi zinazidi bei za kununulia na shipping. Mwezi wa saba nilitaka kuagiza laptop moja kutoka Aliexpress, lakini nikakutana na wazungu furani waliingiza laptop tano waliipata usumbufu airpot. Sijui walitozwa kodi kiasi gani. Nikaghairi kununua
 
Hongera, lakini tunahitaji ushuhuda zaidi kwa watu uliowahudumia. Tumia verified user, na waombe mods kwa humu jf wakudhamini.
cc: Invisible ,
Nimepokea ushauri wako ndugu a4apple
Biashara na waafrica ni pasua kichwa, watu sio waaminifu kabisa na wengine ni wezi.
Hili nalitambua.
Kwa miaka mitatu nimekuwa nikiwahudumia wadau bila ya kuwa na official Thread, Ndipo nikaona ni vyema kuwa na thread ya rejea.
Uaminifu kwangu ni msingi wa huduma
Pili, jaribu kulink links zako na zile za TRA zinazohusu kodi kwa bidhaa kutoka nje.
Changamoto za TRA nazifahamu.
Pia huwa nawashauri wateja wa nini cha kufanya ili kuepukana na hizi changamoto
Kodi zinazidi bei za kununulia na shipping.
Hili ni kweli.
Hasa wanapo Uplift item price kutoka ile uliyonunulia na wao kuweka yakwao.
Nimetolea maelezo kidogo kwenye hii link.
>> Kukatwa kodi kwa mizigo
lakini nikakutana na wazungu furani waliingiza laptop tano waliipata usumbufu airpot. Sijui walitozwa kodi kiasi gani. Nikaghairi kununua
Wakati wowote ukihitaji msaada wangu nakukaribisha.

KARIBU
 
Mimi nahitaj taa za gari aina ya harrier head lamp na fog lamp za corolla Axio. Ebu nipe mchakato mkuu
Habari
Hii ni status ya mzigo wetu. Dated 17/09/2016
By Tuesday utakuwa mikononi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…