Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

so hapo unasemaje icho cha dola 1 kinaweza kuwa sawa na dola 50?
ndio vitakuwa sawa, bila shaka wametoa condition ya kupata hicho kitabu kwa ghalama nafuu mfano
- Iwapo kama utanunua na kutumia amazon card au
- Iwapo utajiunga na amzon prime
Yaani lazima kuna condition ambayao wanakuwa wametoa.
N.B hapo kwa mujibu wa description vyote ni NEW.
kingine ile PRIME wanasema free shipping ama dola 13 . Nieleweshe hapo
Iwapo umejiunga na Amazon Prime - ndio utapata 2days free shipping kwa bidhaa zitazopokelewa ndani ya USA kama umenunua amazon USA, UK kwa amazon UK
- Amazon prime ni huduma inayolipiwa kiasi cha dola 90 kwa mwaka.
- Hivyo iwapo huna uanachama wa Amazon Prime basi ni lazima ulipie shipping cost inayokuwa imetajwa kama ni US $13 etl
 
Kingine hapo kwnye new and used ni kuna tofauti kubwa kuanza bei ndogo hadi bei kubwa kuliko ma vyote wanasema ni new...sasa hapa inakuaje mana wengi wanaamini kua bei kubwa mdo bora zaidi na qualityView attachment 414583
- Bei ya vitabu vilivyotumika huwa ndogo ukilinganisha na kipya.

Iwapo vyote ni vipya
- Vyenye bei ndogo hawatumi nje ya nchi husika. mfano
upload_2016-10-8_17-9-52.png

Hivi vitabu hawatumi nje ya USA au UK

Ila kitabu hicho hicho kwa bei ya juu, wanatuma kuja TZ
upload_2016-10-8_17-13-36.png
 

Attachments

  • upload_2016-10-8_17-11-9.png
    upload_2016-10-8_17-11-9.png
    35.1 KB · Views: 297
Cheki hivi vyote wanasema ni NEW lakini bei zinatofautiana...sijaelewa na quality ya book nayo inachange amaView attachment 414587
Kitabu ni hicho hicho na ubora wake ni ule ule.
Mfano kwa hiki kitabu Smith and Hogan's Criminal Law 14th Edition tofauti ya bei ni kuwa.
- Kitabu cha bei ndogo us $40 muuzaji hatumi nje ya nchi husika kama ni UK au USA
- Wakati kitabu hicho hicho kwa US $60 + $13 shipping - Muuzaji anatuma mahala popote nje ya nchi yake
 
Mkuu nilikua nahitaji generator za kW 12000, mbili bei imekaaje? Na kuzileta huku gharama zake zipo vipi?
 
Mkuu nilikua nahitaji generator za kW 12000, mbili bei imekaaje? Na kuzileta huku gharama zake zipo vipi?
Habari

Ingia EBAY tafuta aina ya generator unayohitaji, kisha utanijulisha

UTARATIBU WA KUNUNUA BIDHAA - BUY4ME

Utafuata hizi hatua

1. Tafuta bidhaa unayoihitaji toka tovuti tofauti tofauti.

2. Chagua bidhaa husika unayohitaji katika tovuti uliyo chagua mfano kama ni ALIEXPRESS, SOUQ, AMAZON (.com, .in, .uk ) au EBAY (.in, .com, .uk)

3. Nipe link ya hiyo bidhaa unayohitaji na uliyochagua.
Utanipa link kupitia email au whatsapp au PM

4. Nitaikagua link husika na Nitakujulisha gharama kwa TSH inayotakiwa kulipwa.

 
Kitabu ni hicho hicho na ubora wake ni ule ule.
Mfano kwa hiki kitabu Smith and Hogan's Criminal Law 14th Edition tofauti ya bei ni kuwa.
- Kitabu cha bei ndogo us $40 muuzaji hatumi nje ya nchi husika kama ni UK au USA
- Wakati kitabu hicho hicho kwa US $60 + $13 shipping - Muuzaji anatuma mahala popote nje ya nchi yake
Sasa kama hivo vya bei rahisi hawaship huku nitafanyaje sasa?
 
Sasa kama hivo vya bei rahisi hawaship huku nitafanyaje sasa?
Vitapokelewa kwenye nchi husika, kisha nitasafirisha kuja TZ.
Kinachotakiwa
- Chagua kitabu husika.
- Ili mchakato uanze

Lejea maelezo hapo juu kuhusu MASOKO KUNDI B
 
Kitabu ni hicho hicho na ubora wake ni ule ule.
Mfano kwa hiki kitabu Smith and Hogan's Criminal Law 14th Edition tofauti ya bei ni kuwa.
- Kitabu cha bei ndogo us $40 muuzaji hatumi nje ya nchi husika kama ni UK au USA
- Wakati kitabu hicho hicho kwa US $60 + $13 shipping - Muuzaji anatuma mahala popote nje ya nchi yake
Sasa mfano ninataka icho cha bei ndogo kuliko vyote ambacho hawaship Tanzania...wewe utanifanyia shipping kwa bei gani?
Lets say icho cha bei ndogo ambacho hawaship ni dola 40? Hapo inakuaje?
 
Sasa mfano ninataka icho cha bei ndogo kuliko vyote ambacho hawaship Tanzania...wewe utanifanyia shipping kwa bei gani?
Lets say icho cha bei ndogo ambacho hawaship ni dola 40? Hapo inakuaje?
upload_2016-10-8_19-16-39.png


KITABU CHA US $44.60
- Kitanunuliwa kwa $44.60 na kusafirishwa kwa $3.99 hadi NY - USA
- Ndipo kitasafirishwa kuja TZ kwa gharama ya US $27.14
Jumla itakuwa = 48.59 + 27.14 = $75.73
Ukiweka na ghalama zangu jumla itakughalimu $80
 
Mkuu jenereta c watakata kodi tz? Alafu shipping cost itakuaje kwa mzigo unaotoka china??
1. Ndio kutakuwa na kodi utakayolipia.

2. Shipping cost itategemea uzito wa generator husika.
 
View attachment 414664

KITABU CHA US $44.60
- Kitanunuliwa kwa $44.60 na kusafirishwa kwa $3.99 hadi NY - USA
- Ndipo kitasafirishwa kuja TZ kwa gharama ya US $27.14
Jumla itakuwa = 48.59 + 27.14 = $75.73
Ukiweka na ghalama zangu jumla itakughalimu $80
Mpaka hapo sasa nimekuelewa vizuri.

1. Sasa kitabu kikishafika bongo ndo nakulipa iyo dola 80 jumla ama?

2. Iyo dola 27 ya kutuma kitabu kimoja mbona kubwa sana,? Umeichanganua vp?
 
Mpaka hapo sasa nimekuelewa vizuri.

1. Sasa kitabu kikishafika bongo ndo nakulipa iyo dola 80 jumla ama?

2. Iyo dola 27 ya kutuma kitabu kimoja mbona kubwa sana,? Umeichanganua vp?
1. Fuata maelekezo kwenye post ya kwanza, Malipo yote hufanyika kwanza

2. Lejea mchanganuo hapoa juu
2. Iwapo umenunua bidhaa toka soko kundi B – Ghalama ya kusafirishia hutegemea UZITO wa bidhaa husika katika KILO (Kg) au katika POUND (LB) na kiwango cha fedha hutokana na kila 0.5kg ya bidhaa yako. kwa huu utaratibu

Mfano
:
a) 0.1 - 0.5kg Gharama ya kusafirisha ni USD 15
b) 0.6 – 1kg Ghalama ya kusafirisha ni 27.14 USD
c) 1.1kg – 1.5kg Gharama ya kusafirisha ni 38.94 USD
d) 1.6kg – 2kg Gharama ya kusafirisha ni 50.74 USD
 
1. Fuata maelekezo kwenye post ya kwanza, Malipo yote hufanyika kwanza

2. Lejea mchanganuo hapoa juu
Sawa hapo nimekuelewa. Swali lingine, ni njia gani rahisi , ukakika na CHEAPEST kuliko zote ya ku-ship lets a say a book kutoka U.S kuja Tz?
 
Sawa hapo nimekuelewa. Swali lingine, ni njia gani rahisi , ukakika na CHEAPEST kuliko zote ya ku-ship lets a say a book kutoka U.S kuja Tz?
- Tafuta muuzaji mwenye free shipping kuja Tanzania hasa ebay .com
- Au mtafute mtu (ndugu, jamaa au rafiki) anayesafiri hivi karibuni toka USA kuja TZ ili akubebea vitabu bila ghalama yeyote.
- Nje ya hapo hakuna.
Thread Rejea
- Hili Halijapata Ufumbuzi kuhusu Ununuzi wa Vitu kwa Njia ya Mtandao (Online Purchase)
 
- Tafuta muuzaji mwenye free shipping kuja Tanzania hasa ebay .com
- Au mtafute mtu (ndugu, jamaa au rafiki) anayesafiri hivi karibuni toka USA kuja TZ ili akubebea vitabu bila ghalama yeyote.
- Nje ya hapo hakuna.
Thread Rejea
- Hili Halijapata Ufumbuzi kuhusu Ununuzi wa Vitu kwa Njia ya Mtandao (Online Purchase)
Hapana, nadhani hujaelewa swali langu.
Yani nilivosema njia gani , nilimaanisha kwnye hayo makampuni ya kuship kama DHL etc ni yapi ndo cheapest, safe etc
 
Sorry mkuu,nachek ebay apa windows tablet,nme sort lowest price + shipping, naona bei za chini ya dollar 50 kibao..
Sasa hapa ndo km siamin,tablet tna zna windows 8 n above alaf mara dollar 8..mjuzi naomba darasa
 
Sorry mkuu,nachek ebay apa windows tablet,nme sort lowest price + shipping, naona bei za chini ya dollar 50 kibao..
Sasa hapa ndo km siamin,tablet tna zna windows 8 n above alaf mara dollar 8..mjuzi naomba darasa
Ni kweli baadhi ya list kwenye online store huwa ni za kutiliwa mashaka.

Vitu vya kuzigatia
- Nunua bidhaa toka kwa Top rated seller, huwa wanakuwa na bedge za kuwatambua.
upload_2016-10-10_4-49-17.png

- Top rated seller: Huwa na positive feedback 90 - 98, na uki_click jina la seller, utaona taarifa zake zaidi kuhusu feedback & rating
upload_2016-10-10_5-0-54.png

- Ukiingia kwenye store ya Top rated seller utakuta items nyingi nyingine zenye bei ya manunuzi + shipping cost, ambayo si ya kutilia mashaka hata kidogo.
- Hapo waweza kununua.

Iwapo ikitokea umelipia bidhaa yenye bei ya kutiliwa mashaka, baada ya siku moja au mbili, utakutana na huu ujumbe kwenye ile link uliyofanyia manunuzi
upload_2016-10-10_5-38-24.png

upload_2016-10-10_5-41-4.png


- Cha kuzingatia ni kuwa hakuna tablet ya chini ya dola 10 (Manunuzi + Shipping/free shipping), hata ile ambayo ni mbovu, inayouzwa just for spare parts.

Kwa kulizingatia hili ndio sababu nimeweka kipengele number 4 - Ukaguzi wa link ya bidhaa husika kabla ya kulipia
UTARATIBU WA KUNUNUA BIDHAA - BUY4ME

Utafuata hizi hatua

1. Tafuta bidhaa unayoihitaji toka tovuti tofauti tofauti.

2. Chagua bidhaa husika unayohitaji katika tovuti uliyo chagua mfano kama ni ALIEXPRESS, SOUQ, AMAZON (.com, .in, .uk ) au EBAY (.in, .com, .uk)

3. Nipe link ya hiyo bidhaa unayohitaji na uliyochagua.
Utanipa link kupitia email au whatsapp au PM

4. Nitaikagua link husika na Nitakujulisha gharama kwa TSH inayotakiwa kulipwa.

5. Utafanya malipo kwa utaratibu wa malipo uliowekwa.
 
Back
Top Bottom