Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Ni vyema ukapata Kindle PaperWhite - Hii ni device maalum nzuli kwa walio addicted na novel /vitabu kwa ujumla.
kindle.jpg


kindle_paperwhite_2015.jpg


Ambapo utakuwa ukinunua vitabu toka amazon na instantly unakipata katika kifaa chako na kuanza kusoma hapo kwa hapo.
Screenshot_2016_08_22_11_54_40.png
Bei gani hii mkuu
 
Naomba msaada kuhusu hawa jamaa wa Alibaba naona product zao ni cheap price tofaut na site nyingne za online shopping
Je ni safe site kufany manunuzi au kuna mtu alishawah kuitumia atupe mrejesho?
 
Naomba msaada kuhusu hawa jamaa wa Alibaba naona product zao ni cheap price tofaut na site nyingne za online shopping
Je ni safe site kufany manunuzi au kuna mtu alishawah kuitumia atupe mrejesho?
product zao ni cheap price - Sababu bei walio iweka ni ya bidhaa tu, hawajaweka ghalama ya kusafirishia,

Je ni safe site kufanya manunuzi - Ndio ni safe, njia salama ya malipo inapaswa kutumika
 
Wakuu naomba kuwajulisha kwamba nimeagiza bidhaa tatu tofauti na zote zimefika salama. Ningenunua hapa Bongo zingenigharimu sana maana ni Specialized gadgets.

Of course niliagiza kwanza kidogo maana nilihofia kutapeliwa, lakini kwa namna mtiririko wa matukio ulivyokuwa na response zilivokuwa za haraka kwa kweli nimewaamini hawa jamaa.

Tena kuna tatizo flani za kiufundi
20161123_152113.jpg
lilitokea lakini likawa solved vizuri kabisa.

Siku zote mi huwaambia vijana kwamba "Uaminifu ndiyo mtaji namba moja"
 
Ila mkuu Mwalimu ukifungua ofisi itakuwa vyema sana, we anzia zako hata huko Mwenge Mwenge au Ubungo Ubungo huko si lazima iwe Posta ambako gharama ni kubwa
 
Wakuu naomba kuwajulisha kwamba nimeagiza bidhaa tatu tofauti na zote zimefika salama. Ningenunua hapa Bongo zingenigharimu sana maana ni Specialized gadgets.

Of course niliagiza kwanza kidogo maana nilihofia kutapeliwa, lakini kwa namna mtiririko wa matukio ulivyokuwa na response zilivokuwa za haraka kwa kweli nimewaamini hawa jamaa.

Tena kuna tatizo flani za kiufundi View attachment 438451 lilitokea lakini likawa solved vizuri kabisa.

Siku zote mi huwaambia vijana kwamba "Uaminifu ndiyo mtaji namba moja"
Ndugu Charity24 Ahsante sana kwa mrejesho, juu ya huduma hii ya manunuzi mtandaoni, share ukurasa www.v.ht/buy4me huu na ndugu wengi.

Ahsante sana

upload_2016-11-23_17-3-26.png

 

Attachments

Naomba kujua huyo aliyeagiza mzigo kwenda DRC alilipa ushuru kwa nchi mbili? Yaani Tanzania na kisha DRC? Mwl.RCT
 
Back
Top Bottom