Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

nashukuru nimepata mzigo wangu week hii bila shaka bila shida!
 
  • Thanks
Reactions: SIM
wakuu habri zenu, inakuaje unakuta phone inauzwa ebay (buy it now) then after some minutes ukitaka ku view hiyo item unakutana na msg "
This listing (302158799954) has been removed, or this item is not available.
    • Please check that you've entered the correct item number
    • Listings that have ended 90 or more days ago will not be available for viewing.
 
wakuu habri zenu, inakuaje unakuta phone inauzwa ebay (buy it now) then after some minutes ukitaka ku view hiyo item unakutana na msg "
This listing (302158799954) has been removed, or this item is not available.
    • Please check that you've entered the correct item number
    • Listings that have ended 90 or more days ago will not be available for viewing.
Hii hujitokeza pale muuzaji amevunja terms and conditions ambazo ebay imejiwekea ili kumlinda mnunuzi.

Pia hili swala nimeligusia kidogo kwenye comment yangu #81 page 5, Fuata hii link: Nunua bidhaa: Kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
 
Asante kwa kunidirect huku.
Vipi kuhusu tozo za ziada kama kodi? Au ikifika hailipiwi kama tunavyolipia vyombo vya usafiri?
 
wewe sio tapeli...nkisoma tu naelewa kbs mtu huyu sio wa kupuuzia,kaza buti
 
Asante kwa kunidirect huku.
Vipi kuhusu tozo za ziada kama kodi? Au ikifika hailipiwi kama tunavyolipia vyombo vya usafiri?
Kuna items ambazo huwa hazilipiwi kodi

Na kuna ambazo zinalipiwa kodi.

- Pitia hii thread kwa ufafanuzi zaidi kuhusu kodi:
>> Kukatwa kodi kwa mizigo <<
 
Kelvin Isaya ni Tapeli Ngoja tufanye utaratibu wa kumrudisha Tz.... Tumeshafanya gathering ya evidence ...Tunatoa taarifa ubalozi juu ya huyu Tapeli Mwizi.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
upload_2016-12-28_10-43-48.png

 
Mkuu ni soko lipi naweza kupata smarphones original kwa bei nafuu zaidi?
 
Kelvin Isaya ni Tapeli Ngoja tufanye utaratibu wa kumrudisha Tz.... Tumeshafanya gathering ya evidence ...Tunatoa taarifa ubalozi juu ya huyu Tapeli Mwizi.
ndio nani mkuu?
 
Back
Top Bottom