Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Niangalizie hiyo machine mwl tujue itanigharimu shingapi toka kwenye hii link;quick.co.id/id-combine-harvester-quick.html
Habari
Link haijanifkia
Weka link kwa kufuata huu utaraibu wa Code & [ ]
 
Poa chief
 
EPSON L850 - TZS 1,350,000 (Mpya)

KWA USED KUNA

- L800 TZS 600,000

- L300 TZS 350,000
View attachment 516149

Utasafirishiwa kwa njia ya basi mahala popote Tanzania BURE

KARIBU
[emoji121]
MKUU,

KWA MANTIKI HII
HAKUNA UNAFUU WA KUAGIZA NJE,
BALI NI GHARAMA ZAIDI.

RETAIL SALERS WA KARIAKOO WANAUZA
EPSON L850 MPYA KWA 950,000/= TZS,
HOW KUTOKA NG'AMBO IWE 1,350,000/= TZS !!!

TYPICAL USELESS!!!
 
HAKUNA UNAFUU WA KUAGIZA NJE,
BALI NI GHARAMA ZAIDI.

RETAIL SALERS WA KARIAKOO WANAUZA
Huwa wanaingiza nchini mzigo mkubwa kwa njia ya meli, Hivyo shipping cost inakuwa ndogo, Hivyo bei ya kuuzia pia inakuwa mdogo.

Mfano mwingine
- Samsung TV 32" kariakoo utanunua kwa TZS 630,000
- Hiyo hiyo ukiagiza USA/ UK andaa 900,000 au zaidi

Sababu ni hiyo hiyo. Tofauti ya njia ya usafirishaji ndio inaleta tofauti ya bei.

Hivyo kuna bidhaa za kununua nchini na kuna bidhaa za kuagiza nje ya nchi.

Rejea - Utangulizi kwenye post namba moja.
 
Vitabu Kwa Amazon unanunuaje Ili vifike Bongo
- Hard copy utasafirishiwa kwa ndege - ghalama itategemea uzito wa kitabu husika, Rejea post namba moja
- Kwa soft copy nakutumia kwa email baada ya kukinunua

KARIBU
 
- Hard copy utasafirishiwa kwa ndege - ghalama itategemea uzito wa kitabu husika, Rejea post namba moja
- Kwa soft copy nakutumia kwa email baada ya kukinunua

KARIBU
Kuna kitabu kinaitwa Group accounts by Tom Clendon nakihitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…