mzama chumvini
JF-Expert Member
- Mar 14, 2016
- 730
- 642
mkuu mpaka naupata mkononi??? namaanisha hapo na gharama zako pamoja na taxTZS 373,985.82
mkuu mpaka naupata mkononi??? namaanisha hapo na gharama zako pamoja na tax
Hapo ni:
- Manunuzi
- Kusafirsha &
- Charges zangu
Kuhusu TAX - iwapo utatakiwa kulipia
- Ghalama hujulikana baada ya mzigo kufika nchini.
- Mamlaka husika ndio hukokotoa kiwango inachotakiwa kulipia, Hivyo uwe tayari kulipa kodi husika pindi.
- Bei ya manunuzi ndio hutumika katika hesabu za TAX.
Habari za kwako mkuu,kwa uzoefu wako nikitaka kuagiza viatu vya ngoziHapo ni:
- Manunuzi
- Kusafirsha &
- Charges zangu
Kuhusu TAX - iwapo utatakiwa kulipia
- Ghalama hujulikana baada ya mzigo kufika nchini.
- Mamlaka husika ndio hukokotoa kiwango inachotakiwa kulipia, Hivyo uwe tayari kulipa kodi husika pindi.
- Bei ya manunuzi ndio hutumika katika hesabu za TAX.
Ukiagiza toka UK / USA ghlama ni kubwa kuliko hapa TZHabari za kwako mkuu,kwa uzoefu wako nikitaka kuagiza viatu vya ngozi
toka nje,bei yake yaweza kuwa sawa au kuzidi ya bongo?
hii ipo, Ninayoitaji ni ile inayoingia ndani ya hii, ambayo kwenye izi video zilizojitokeza YouTube inaonekana ikitolewa ndani ya box dogo pamoja na card CI or CI+ Card na nyingine naziona zimeshikwa mkononi ila sijajua kama ni za Samsung.View attachment 579833
Ghalama: TZS 116,141.32
Itachukua: Wiki 3 kufika
Kwa taratibu za malipo: Niandikia PM au Whatsapp 255 784 496 856
TZS 566,625.93
Sorry. Hii kitu nimeiona kwenye shopping site za Kenya, je unahusika na hata importation kutoka huko?
(TECLAST X98 PLUS ( 9.7″INCH, ANDROID 5.1 LOLLIPOP, WINDOWS 10, 4GB RAM, MASSIVE 64GB ROM, 2MP/5MP, STRONG 8000MAH BATTERY) | Avechi.com )[/QUOTE
Iwapo tutatnunua KENYA inatakiwa TZS 565,119.43
View attachment 580824
Na iwapo manunuzi yatafanyika CHINA utalipia TZS 484,718
Iwapo mzigo unatoka china itachukua si zaidi ya siku 15, na kwa kenya si zaidi ya siku 5
KARIBU
Iwapo tutatnunua KENYA inatakiwa TZS 565,119.43
View attachment 580824
Na iwapo manunuzi yatafanyika CHINA utalipia TZS 484,718
Iwapo mzigo unatoka china itachukua si zaidi ya siku 15, na kwa kenya si zaidi ya siku 5
KARIBU
Zitakufikia kwa TZS 108,238Kuna hiki kitu kitakuwa na ghalama gani mpaka kifika
Apple Genuine EarPod, Earphones, Earbuds for iphone 7 7plus...Brand New | eBay