Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
https://www.amazon.com/gp/aw/d/B018...tv+32+inch&dpPl=1&dpID=5146Ol4aAoL&ref=plSrchTZS 266,656.4
Utangulizihttps://www.amazon.com/gp/aw/d/B018...tv+32+inch&dpPl=1&dpID=5146Ol4aAoL&ref=plSrch
Hii mpaka niipate itagharimu shilling NGAPI?
- Ghalama yote nivigumu kufahamu, sababu malipo yako katika awamu tatu, Malipo ya awamu ya kwanza na Pili yanajulikana, Ila ya awamu ya tatu hayajulikaniHii mpaka niipate itagharimu shilling NGAPI?
bila shaka nimejibu hili swali lako.Hii mpaka niipate itagharimu shilling NGAPI?
Asantee sana bro kwa ushauri wako. Ngoja nitafute hapa nyumbani maana ufafanuzi wako ni wa kina sana, nashukuru kwa muda na juhudi zako... Stay blessedHabari ndugu TATIANA
Utangulizi
Kwa bidhaa zenye uzito mkubwa kama TV, Ni vyema ukanunua hapa nchini, sababu
- Ghalama ya usafirishaji iko juu - hii ni kutokana na uzito wa bidhaa husika
- Kuna ghlama ya kodi/ VAT baada ya mzigo kufika nchini
Amapo ukijumlisha ghalama zote, inakuwa ni kubwa ukilinganisha na bei za hapa nchini.
- Ghalama yote nivigumu kufahamu, sababu malipo yako katika awamu tatu, Malipo ya awamu ya kwanza na Pili yanajulikana, Ila ya awamu ya tatu hayajulikani
Malipo Awamu ya kwanza: MANUNUZI - Hii ndio ghalama iliyo andikwa $123.00 sawa na TZS 290,280: Hii ni ghalama ya kuufikisha mzigo popote ndani ya USA
Malipo Awamu ya pili: USAFIRISHAJI - Toka USA kuja TZ: Ghalama hii inatokana na uzito wa mzigo
View attachment 620356
Kwa uzito huu, Usafirishaji ni $192.34 sawa na TZS 453,922.4
Malipo awamu ya Tatu: Haya ni malipo ya:
- Kodi /VAT - Mamlaka husika ndio hutitajia baada ya kuukagua na kuhakiki mzigo.
- Swisport charges hii iko fixed TZS 27,000
- Hivyo Jumla ya malipo kwa awamu ya tatu haiwezi kujulikana hadi mzigo ufike nchini.
bila shaka nimejibu hili swali lako.
KARIBU
Zangu ziko chini.Mkuu vipi costs zako za usafirishaji relatively compared to myus.com
AliExpress Mobile - Global Online Shopping for Apparel, Phones, Computers, Electronics, Fashion and moreZangu ziko chini.
Kama uliwahi kuwa tumia MYUS, nipe uzito wa item katika LB au KG uliyonunua awali, then mimi nitakupa ghalama yangu ya kusafirishia, kisha linganisha na ambayo ulilipia MYUS.
TZS 1,103,984.4AliExpress Mobile - Global Online Shopping for Apparel, Phones, Computers, Electronics, Fashion and more
hadi kuipata itanicost ngapi?
For Samsung Galaxy S4 i337 M919 i9500 i9505 LCD Screen Display Touch Digitizer | eBayKwa EMS ni TZS 15,000
Ongezea hicho kiasi, kwenye hesabu hapo juu.
Mkuu nichekie hii simu ya $126.99 na pia inachukua siku ngapi kufika dsmTZS 96,004.8
View attachment 621926
TZS 346,896.4Mkuu nichekie hii simu ya $126.99 na pia inachukua siku ngapi kufika dsm
[HK Stock]Xiaomi Redmi Note 4X 5.5 Inch 4G LTE Smartphone FHD Screen 3GB 16GB MIUI 8 Snapdragon 625 Octa-core 13.0MP Touch ID 4100mAh Battery IR Remote Control - Gold
TZS 20,390.4Pia niangalizie items hizi mbili ambazo jumla ni $6.73
Luanke Screen Film Protector -$3.54 Online Shopping| GearBest.com
3D Relief Case Back Cover Protector -$3.19 Online Shopping| GearBest.com
simu inachukua muda gani kwa uzoefu wakoTZS 346,896.4
TZS 20,390.4
vipi Hakuna express shipping? njia ya haraka?Wiki Tatu (3) hadi nne (4) kwa FREE SHIPPING
Nitatumia hiyo DHL economy,nataka hiyo simu kwanza zile item nitanunua nikiipata simu kwanza.Ipo ambapo simu itachukua kati siku 5 hadi 7
View attachment 621977
Utachagua kati ya $22.36 au $77.85
Karibu