DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Nitaupata mzigo wangu baada ya malipo exactly?but naichukia TRA na sitaki ata kuona masura yao,jee utafanya clearance ya kulipia kodi mwenyewe then mm nakulipa full amount?Nipatie link,
Naomba pitia vyema post namba moja, Nimeweka utaratibu wa kufuata ili kufanikisha manunuzi ya kitu chochote kile.Nitaupata mzigo wangu baada ya malipo exactly?
Swala la kodi pia nimetolea ufafanuzi.but naichukia TRA na sitaki ata kuona masura yao,jee utafanya clearance ya kulipia kodi mwenyewe then mm nakulipa full amount?
Hii site hapana, hatuwezi fanya manunuzi hapoAngalia hii link nipe gharama yake.
Brand NEW HP Notebook 15-BS016 7th [15-BS016] - $144.00 : BESTOUTLITE - Laptop Deals | On Sale This Week !
ok.Hii site hapana, hatuwezi fanya manunuzi hapo
Tumia moja kati ya hizi site ili kupata uhalisia wa bei wa aina hiyo ya laptop
Au hata official website ya HP
- AMAZON
- EBAY
- BESTBUY
UMI PLUS 4GB+32GBNaomba kufahamu gharama ya kununua + usafiri + vat +gharama ya malipo yako Source Wholesale Original UMI Plus, 4GB+32GB Smartphone 4G Android Phone on m.alibaba.com
Mwl hujanijibu hapaSony Xperia Z3+ Dual - 32GB, 3GB RAM, 4G LTE, WiFi, White
Mwl niangalizie hii hadi naipata mkononi itakuwa bei gani.
Bei haina uhalisia.mkuu gharama ya hii tablet 10.1 Inch 4G + 64G Android 6.0 Dual SIM &Camera GPS Phone Wifi Phablet Tablet PC | eBay
White, asante nikiwa tayari ntakucheki kwa ajili ya muamala.Ni TZS 597,080
Muda: Ndani ya wiki 2 hadi 3
Je iwe rangi ipi: Black, White au Gold?
TZS 146,650.4https://www.amazon.co.uk/gp/aw/d/B0...X236_SY340_QL65&keywords=Men+travel+pack+back
Naomba kujua hiyo begi(travel pack back) tshs ngapi mpaka inanifikia mkononi?muda gani ntaipata?
TZS 342,200Unlocked Huawei E5885 Mobile WiFi Pro2 4G LTE FDD/TD 300Mbps Mobile WiFi Router | eBay
Mpaka kunifikia Mwl itakuwa sh ngapi?