Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 981
Mkuu nataka kuagiza incubator toka nje ila sina lolote nalofahamu kuhusu hii product unaweza nishauri kwa kunipatia reliable link zenye uwezo wa mayai 300 mkuu kwa reasonable price na durability isiwe mbovu na je kodi wanakata kwenye vitu kama hivi vya kijasiriamali.ahsanteh
Je ni kwanini uagize bidhaa ambayo huifahamu.Mkuu nataka kuagiza incubator toka nje ila sina lolote nalofahamu kuhusu hii product
Ni jukumu lako kutafuta bidhaa unayohitaji.kunipatia reliable link zenye uwezo wa mayai 300
mayai 300 mkuu kwa reasonable price na durability isiwe mbovu na je kodi wanakata kwenye vitu kama hivi vya kijasiriamali.ahsanteh
Mkuu acha kukwepa jukumu lako la kutafuta link ya bidhaa husika na kumpa mwl.RCT![emoji53][emoji53][emoji53].....ni tabia mbaya hiyo ujue!Mkuu nataka kuagiza incubator toka nje ila sina lolote nalofahamu kuhusu hii product unaweza nishauri kwa kunipatia reliable link zenye uwezo wa mayai 300 mkuu kwa reasonable price na durability isiwe mbovu na je kodi wanakata kwenye vitu kama hivi vya kijasiriamali.ahsanteh
Haha nimekuelewa bossMkuu acha kukwepa jukumu lako la kutafuta link ya bidhaa husika na kumpa mwl.RCT![emoji53][emoji53][emoji53].....ni tabia mbaya hiyo ujue!
AliExpress Mobile - Global Online Shopping for Apparel, Phones, Computers, Electronics, Fashion and more
Mkuu nihitaji hii kitu hadi kufika bongo itagharimu kiasi gani.
Mwl.RCT gharama ya hii mbaka kunifikia itakua jumla $ ngapi?
https://www.walmart.com/ip/Fifa-18-Limited-Edition-PS4/8825857
Hii tuataagiza toka UK.Vp mwalimu kuhusu blackberry z 30 Mpaka inafka bongo land
TZS 73,160ColMi Smart Watch Waterproof IP68 5ATM Passometer Message Reminder Ultra-long Standby Xwatch Outdoor Swimming Sport Smartwatch
ColMi Smart Watch Waterproof IP68 5ATM Passometer Message Reminder Ultra long Standby Xwatch Outdoor Swimming Sport Smartwatch-in Smart Watches from Consumer Electronics on Aliexpress.com | Alibaba Group to clipboard
(from AliExpress Android)
Naomba bei rasmi ya hii saa hadi ikinifikia.
TZS 73,160!?TZS 73,160
Muda: Wiki 3
TZS 73,160!?
Mbn una charge gharama kubwa sana kama kuipata ni week3! Mana week tatu ni for standard shipping na sio premium shipping! Kama ni standard shipping kwann ucharge gharama kubwa hivo!?
So hapo bonus yako ni kama 20k sio!? Hahaha duh... kumbe hela inapatikana kirahisi namna hiiView attachment 665603
Ukiona item kwenye site, Angalia pia ghalama ya kusafirishia ni kiasi gani.
So hapo bonus yako ni kama 20k sio!? Hahaha duh... kumbe hela inapatikana kirahisi namna hii
Xiaomi Redmi 4X pro prime 4GB RAM 64GB ROM - TZS 485,027.2
Xiaomi Redmi Note 4X 3GB 16GB - TZS 396,078.8
Hakuna ghalama nyingine.Hiyo 4X pro hiyo bei ndo mpaka naitia mkononi au kuna gharama nyingine tena,
Ni ndani ya wiki 2 hadi 3Pia inachukua muda gani mpaka bidhaa kunifikia