TZS 106,200Kioo ni hiki naomba estimate mkuu nijipange
Touch Frontglas Ersatz Digitizer für HP SLATE 7 HD Tablet 3400 3400US 3404E Glas | eBay
TZS 466,194.4https://www.amazon.com/gp/aw/d/B01N...ovotablet&dpPl=1&dpID=51SilCRplDL&ref=plSrch#
Mkuu naitaka hiyo Lenovo 8" wxga hadi Arusha itafika kiasi gani
Nitakupigia bossTZS 466,194.4
Ghalama ya kutuma arusha kwa EMS ni TZS 15,000
Betri lake lina mAh ngapi chaji inaweza kudumu kwa muda gani??Nimekupata vyema
Kwa hiyo bajeti chukua simu hii:
Xiaomi Redmi Note 5A Prime
- 3GB RAM 32GB ROM
- Snapdragon Octa Core
- 5.5 Inch
- 16.0MP Front Camera
Kiasi utakacholipia ni TZS 357,360 hadi inakufikia
Betri lake lina mAh ngapi chaji inaweza kudumu kwa muda gani??
Je, ina fingerprint?
Nimeshaiona ni kali hiyo
Kwenye Betri hapoBetri lake lina mAh ngapi chaji inaweza kudumu kwa muda gani??
Je, ina fingerprint?
Nimeshaiona ni kali hiyo
View attachment 691880
Battery: 3080mAh (non-removable)
Fingerprint reader (rear-mounted)
- Imechambuliwa kwa kina zaidi hapa: https://goo.gl/7MTCoL
Iwapo interest ni simu yenye betri nzuri basi tafuta simu yenye betri size kuanzia 6000mAh hadi 10,000mAhKwenye Betri hapo
Sijui km itakuwa na uvumilivu ktk matumizi ya internet
Mwalimu cheki hyo kitu unipe bei yake. Ikiwezekana naomba na ushauri. Nahtaji mziki mkubwa ila kwa bei poa
Source Vibration usb sd subwoofer hometheater on m.alibaba.com
Imefunguliwa au