Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Habari
- Je unahitaji USED au MPYA ?
- Je unahitaji ya size ipi 16GB au 32GB au 64GB?
angalau hata zote tujipime bei zake zilivyo na sie wengine

Post sent using JamiiForums mobile app
 
NAHITAJI MACHINE YA KUFULIA Mwl.RCT NAEZA KUCHAGUA KWENYE SITE GANI??NA JE IKIFIKA TZ KUNA MALIPO YOYOTE YATATAKIWA KULIPWA TENA?
 
Pia naeza kuagiza sofa nje??au garama itakua kubwa sana ,,kuna sofa nikiziangalia kwenye site naona nzuri sana,,muongozo plz Mwl.RCT
 
upload_2017-7-20_4-41-27.png

Manunuzi: $499.95
Kusafirisha: $275

Jumla: $775 (Sawa na TZS 1,822,025 ) Hi nighalama ya kuufikisha mzigo Tanzania.

Hapo kilichobakia ni ghalama ya TRA (TAX + VAT) hesabu yake itatokana na ghalama ya manunuzi yaani $499.95

 
Pia naeza kuagiza sofa nje??au garama itakua kubwa sana ,,kuna sofa nikiziangalia kwenye site naona nzuri sana,,muongozo plz Mwl.RCT
Ni kweli ghalama itakuwa kubwa sana.

Item yeyote yenye uzito mkubwa na ghalama ya kusafirisha huwa ni kubwa sana.
 
NAHITAJI MACHINE YA KUFULIA Mwl.RCT NAEZA KUCHAGUA KWENYE SITE GANI??NA JE IKIFIKA TZ KUNA MALIPO YOYOTE YATATAKIWA KULIPWA TENA?
Ndio waweza kupata mashine ya kufulia nje ya nchi.

Waweza kununua kwa ghalama ndogo

Ila sasa ghalama ya kusafirishia yaweza kuwa mara 3 - 5 ya ghalama ya manunuzi.

Ni vyema ukanunua hapa nchini.
 
Ndio waweza kupata mashine ya kufulia nje ya nchi.

Waweza kununua kwa ghalama ndogo

Ila sasa ghalama ya kusafirishia yaweza kuwa mara 3 - 5 ya ghalama ya manunuzi.

Ni vyema ukanunua hapa nchini.
ushauri mzuri sana, tunakushukuru.

Hivi kulikuwa na link moja hivi ya simu smartphone ulishauri tuinunue inatunza sana chaji, natamani kuifikia ilipo, nikuagize.
 
Habari
item kwenye link ya kwanza [ebay] haipo kwa sasa.
upload_2017-7-20_9-55-1.png


Link ya pili [aliexpresa]
- Utalipia TZS 125,637.44 hadi kuupata huu mzigo
-nItachukua wiki 2 hadi 3
upload_2017-7-20_9-56-28.png

3M/10FT 5 Pin & 11 Pin Micro USB MHL to HDMI 1080P HD TV Cable for Android Phone

AliExpress Mobile - Global Online Shopping for Apparel, Phones, Computers, Electronics, Fashion and more

Mwl. Natumai upo fiti, naomba niangalizie hizi bidhaa mbili (i) kama bado zipo sokoni na (ii) je, kuna shiping kuja tz?
Kama i na ii ni ndio nichekie gharama mpaka kupata hiyo mizigo.
Please help.. [emoji120]

Sent from my HTC U11 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 546284
Manunuzi: $499.95
Kusafirisha: $275

Jumla: $775 (Sawa na TZS 1,822,025 ) Hi nighalama ya kuufikisha mzigo Tanzania.

Hapo kilichobakia ni ghalama ya TRA (TAX + VAT) hesabu yake itatokana na ghalama ya manunuzi yaani $499.95
Duh mkuu yani inaweza kufika million 2 na hapo bado spika zake.
Embu ngoja niendelee kusakanya ambayo nitapata kwa bei nafuu zaidi.
 
Back
Top Bottom