- Ni simu iliyowahi kumilikiwa au kutumika kabla ya kuingizwa sokoni.
- Ikafanyiwa checkup / marekebisho/ re park na kuingizwa tena sokoni.
Mfano mmojawapo ni huu.
- Wewe unamiliki iphone 5c, imetoka toleo jipya iphone 6, na unahitaji iphone 6.
- Hiyo iphone 5c (1)utairudisha sehemu husika - iphone 5 iliyotumika, (2) Utaongezea fedha na utapewa iphone 6 mpya
- Hii ambayo wewe umeirudisha itafanyiwa check up, itabadilisha parts zilizo chakaa kama, itawekwa kwenye boksi jipya na kurudishwa sokoni na itawekewa chata "manufacturer refurbished"
Ukiingia site kama AMAZON na EBAY na kutafuta bidhaa zilizoandikwa manufacturer refurbished , utastaajabu kupata bidhaa yenye ubora na haina tofauti na mpya.