Habari Dada Deborah...
Naomba nirukie hili swali japo ni la
Mwl.RCT
Niliagiza mzigo kupitia mwalimu... Nilichagua mzigo nikampa link... Ili kuwa mashine za upimaji (nazani nikizungumza hili atakuwa ana nikumbuka) nilishindwa tu kuleta ushuhuda hapa kwa wakati...
Mashine ime gharimu zaidi ya 20M mpaka ina fika...
Na bado ikitokea naitajika kupata huduma ya kiufundi toka kwa muuzaji
Mwl.RCT ana nisaidia... Hili nijambo ambalo siwezi sahau maana hii ilitakiwa iwe ni huduma nyingine ya kulipia...
Nami napanga niweze kumpa shukrani japo kwa kapesa kadogo... Tuombe uzima tu... Nimefurahia huduma zake
Hivyo ktk kuagiza mashine kubwa kusiwe na wasiwasi na kuhusu labda pesa kubwa pia kumpa
Mwl.RCT hutakiwi kuwa na wasiwasi... Siku wahi onana nae lakini mzigo (mashine ) nililetewa mpaka nyumbani hapa DSM...
Japo sijui
Mwl.RCT ni mwalimu wa shule ya msingi, Madrasa, mwalimu wa dini, secondary au chuo...
Huduma zake ni nzuri una uhakika wa kupata mzigo...
Uzuri wa kumtumia
Mwl.RCT ina maana yeye ndio anakuwa ktk risk ya kukupatia mzigo yani yeye ni Bima kwa wateja wake...! Ili nazani watu hawaja liona ndio maana wana hofu... Mkiangalia hili wala hofu hamtakuwa Nazo...
Mwl.RCT ndio anatakiwa kuwa na hofu juu ya manunuzi ya mizigo ya wateja wake...