Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Hio saa ya mikanda nimeielewa cheif inaendaje
1622027593747.png
 
Hii bei ni mpaka mzigo kunifikia au kuna gharama nyingine?
  • Hadi kuufikisha Dar, Kwa upande wangu hakina ghalama zingine.
  • Kwa TRA: Computer/Computer parts hazina kodi.
  • Ila Huenda ukadaiwa VAT, na kiasi cha kulipia {asilimia 18} kitatokana na invoice value $112
 
  • Hadi kuufikisha Dar, Kwa upande wangu hakina ghalama zingine.
  • Kwa TRA: Computer/Computer parts hazina kodi.
  • Ila Huenda ukadaiwa VAT, na kiasi cha kulipia {asilimia 18} kitatokana na invoice value $112
Endapo ikitokea natakiwa kulipa VAT,ndio itgonga kwenye ngapi chief? na malipo yanakuwa kwa awamu au vp?
 
Back
Top Bottom