Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa


Nianglizie na hyo
1676336024121.png

=
iko kwenye mnada. Mwenye kuweka dau kubwa ndio atauziwa, baada ya mnada kwisha.
 
Habari mwalimu naweza kupata Iphone 13 promax unlocked unipe bei na gharama zote mpka kunifikia
 
s-l1600.jpg

=
Code:
https://www.ebay.com/itm/334740952359?mkcid=16&mkevt=1&mkrid=711-127632-2357-0&ssspo=uKA2K1j7T4S&sssrc=2349624&ssuid=lz6a3a0tswc&var=&widget_ver=artemis&media=WHATS_APP
 
H486e3a5599aa459895f78a039311baa7e.jpg_960x960.jpg

=
Tayari nimewasiliana na muuzaji anipe shipping option na price kisha nitakujulisha.
Code:
https://www.alibaba.com/product-detail/HOT-selling-Used-Original-japan-JUKIS_1600202478854.html
Sawa sawa
 
H486e3a5599aa459895f78a039311baa7e.jpg_960x960.jpg

=
Tayari nimewasiliana na muuzaji anipe shipping option na price kisha nitakujulisha.
Code:
https://www.alibaba.com/product-detail/HOT-selling-Used-Original-japan-JUKIS_1600202478854.html
| Eliclassic | Hii model | DDL 555 | hakuna kwa sasa, toka kwa huyu muuzaji.
 
Huyu jamaa ni clone? Au ni vipi mbona bei yake ndogo
Inatia mashaka, Ni bora kununua used OG toka USA, UK au Japan na sio kununua brand New toka China, waweza pata mzigo feki.
 
Simu gani yenye kioo cha kuanzia inch 7 bei kuanzia laki 7 kushuka chini kwa sasa?

sawali la pili, samsung s22 ultra hadi dar shi ngapi?
Screenshot_20230220-190121.png
 
Back
Top Bottom