Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

1696436666907.png
 
Mkuu kwema kuna ponjoro kanitonya india wk hii amzon india na flipkart kuna ofa za kutosha ebu check iyo link nijuze adi bongo inakuajee


Take a look at this Hisense A6K 139 cm (55 inch) Ultra HD (4K) LED Smart Google TV 2023 Edition with Hands Free Voice Control, Dolby Vision & Atmos and HRR 120 Hz Mode on Flipkart
 
hii amzon india na flipkart kuna ofa za kutosha
Ni kweli kuna offer ya punguzo hadi asilimia 70 kwa baadhi ya bidhaa.

Changamoto: iko kwnye gharama ya usafirishaji, Ghalama ni kubwa kutokana na uzito wa hizi TV,

Mfano hii TV : Hisense A6K 139 cm (55 inch) Ultra HD (4K) LED Smart Google TV 2023
- Uzito wake ni 18.8kg, ambapo gharama ya kusafirisha kuja Tanzania ni US $452
 
niangalie na hii hapa ya bei nzuri au inayoendana na hii
 

Attachments

  • 71zVH4t6srL._AC_SL1500_.jpg
    71zVH4t6srL._AC_SL1500_.jpg
    188.2 KB · Views: 7
Mkuu kinahitajika kinanda aina ya Yamaha chenye uwezo wa PSR-950


Naomba kujua gharama na muda wa mzigo kufika
 
1697724327565.png

=

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushirikiano ninao upata toka kwa wana JF wote.
 
Mwl.RCT
Mkuu habari
Samahani naomba kujua bei ya hizi simu mpka bongo

Samsung S21 ultra

Samsung S22 ultra
 
JE NITAUPATA VIPI MZIGO WANGU BAADA YA KUWA UMEFIKA TANZANIA?
- Utapigiwa simu kukujulishwa kuwa mzigo wako umefika.

- Utaletewa ofisi kwa wale wanaoishi katikati ya jiji ya Dar es salaam, FREE DELIVERY. au

- Utaelekezwa mahala unatakiwa ufike ili uchukua mzigo - Ni city centre kwa walio Dar es salaam, Waweza kuja wewe mwenye au ukamtuma mtu akuchukulie.
Namba zenu nitazipata wapi?
 
Back
Top Bottom