Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kuna offer ya punguzo hadi asilimia 70 kwa baadhi ya bidhaa.hii amzon india na flipkart kuna ofa za kutosha
naomba contact zako....nahitaji na soldering microscopeView attachment 2784384
=
TZS. 542,700
View attachment 2784386
Code:Ref: /item/1794837776.html?spm=a2g0o.cart.0.0.143d38dapX9KdR&mp=1
Ok. Nisaidie na bei ya hizi pia nijue naangukia wapi mkuu
TZS. 1,162,800
Mr Ticha kuna hii simu inaitwa Honor x9b naomba kujua gharama mpaka inafika hapa tanzania.
View attachment 2787373
Naomba uendelee kuitafiti ukipata updates naomba unishirikishe. Naona inakidhi kabisa viwango ninavyo takaTuwasiliane baada ya October 27 | Ambapo Pre-Order itawezekana baada ya bei kuwekwa wazi | Bado haipo sokoni kwa sasa.
View attachment 2787443
Namba zenu nitazipata wapi?JE NITAUPATA VIPI MZIGO WANGU BAADA YA KUWA UMEFIKA TANZANIA?
- Utapigiwa simu kukujulishwa kuwa mzigo wako umefika.
- Utaletewa ofisi kwa wale wanaoishi katikati ya jiji ya Dar es salaam, FREE DELIVERY. au
- Utaelekezwa mahala unatakiwa ufike ili uchukua mzigo - Ni city centre kwa walio Dar es salaam, Waweza kuja wewe mwenye au ukamtuma mtu akuchukulie.