Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

kingjohn255

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
400
Reaction score
513
Watu wengi wamekuwa na utaratibu wa kununua gari wanazotamani kuwa nazo, lakini ukweli ni kwamba matumizi ya gari kuna muda ni makubwa kuliko uhalisia wenyewe, mimi kama muagizaji na muuzaji wa magari leo napenda kuwashauri jambo moja kuhusu fomula ya kutumia gari. Nunua gari ambayo unaweza kutumia asilimia 30% tu ya mapato yako ya mwezi kwa ajili ya uendeshaji wake kwa mwezi, kwa maana kuanzia mafuta na marekebisho yake madogo(minor services) kama oil, plug, nk, na usipende kununua gari uitakayo kwa sababu unaweza kutamani Premio ila uhalisia uwezo wako ni Passo.
 
Watu wengi wamekua na utaratibu wa kununua gari wanazotamani kua nazo, lakini ukweli ni kwamba matumizi ya gari kuna mda ni makubwa kuliko uhalisia wenyewe, mimi kama muagizaji na muuzaji wa magari leo napenda kuwashauri jambo moja kuhusu fomula ya kutumia gari, nunua gari ambayo unaweza kutumia asilimia 30% tu ya mapato yako ya mwezi kwa ajili ya uendeshaji wake kwa mwezi, kwa maana kuanzia mafuta na marekebisho yake madogo(minor services) kama oil, plug, nk, na usipende kununua gari uitakayo kwa sababu unaweza kutamani Premio ila uhalisia uwezo wako ni Passo
Kama unapenda trekta tufanyeje
 
FB_IMG_17238355995780244.jpg
 
Vipi mkuu, Mazda Atenza una uzoefu nayo mkuu na bei hadi unaitia mkononi ya Angalau 2016. Vipi vipuri, wese na mafundi
Mkuu kwa mazda Atenza ya mwaka huo andaa min 36Milions vipuri bado havijawa vingi sana lakini mafundi wapo japokua sio wengi kiivyo
 
Back
Top Bottom