Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

Watu wengi wamekua na utaratibu wa kununua gari wanazotamani kua nazo, lakini ukweli ni kwamba matumizi ya gari kuna mda ni makubwa kuliko uhalisia wenyewe, mimi kama muagizaji na muuzaji wa magari leo napenda kuwashauri jambo moja kuhusu fomula ya kutumia gari, nunua gari ambayo unaweza kutumia asilimia 30% tu ya mapato yako ya mwezi kwa ajili ya uendeshaji wake kwa mwezi, kwa maana kuanzia mafuta na marekebisho yake madogo(minor services) kama oil, plug, nk, na usipende kununua gari uitakayo kwa sababu unaweza kutamani Premio ila uhalisia uwezo wako ni Passo
Nitakomaa na majesta hivo hivo,ndio nimeamua
 
Ushauri wako mkuu ...me nina vitz old model nimetumia kwa miaka 3 sasa na nimeimudu bila shida..sasa nilijiwekea akiba ya pesa ..Nimejikuta natamani kumiliki Toyota Rumion ...Naomba kufahamu je kutoka kweny Vitz old model mpaka Rumion.. kimatumizi na kuhudumia gari ...Naweza kufit? Au nimesogea sana ..
 
Hatutaki ushauri wako watu tuna mipango yetu tayari endelea na maisha yako usipende kushauri watu katika maisha yao kwani watu tayari wanamipango yao ya maisha!wewe shauri familia yako!
 
Mazd cx5,Benz x4,mtsubish outlendar,Subaru Forester,x trail new model, nichukue ipi
 
Ushauri wako mkuu ...me nina vitz old model nimetumia kwa miaka 3 sasa na nimeimudu bila shida..sasa nilijiwekea akiba ya pesa ..Nimejikuta natamani kumiliki Toyota Rumion ...Naomba kufahamu je kutoka kweny Vitz old model mpaka Rumion.. kimatumizi na kuhudumia gari ...Naweza kufit? Au nimesogea sana ..
Hivi common problem ni nini kwenye vitz?
 
Ukweli mchungu, Kuna jamaa yangu amenunua gari ambayo kutoka hapa chanika mpaka posta kwenda na kuludi anatumia mafuta ya 40,000/= per day.

Sasa ivi anatafuta mteja auze mbaya zaidi amekosa mteja mwaka wa pili sasa.
 
Gari yoyote ukinunua brand new,haikusumbui,huwa tunanunua mikangafu Ndio maana tunapata tabu
 
Ukweli mchungu, Kuna jamaa yangu amenunua gari ambayo kutoka hapa chanika mpaka posta kwenda na kuludi anatumia mafuta ya 40,000/= per day.

Sasa ivi anatafuta mteja auze mbaya zaidi amekosa mteja mwaka wa pili sasa.
gari gani?
 
Ukweli mchungu, Kuna jamaa yangu amenunua gari ambayo kutoka hapa chanika mpaka posta kwenda na kuludi anatumia mafuta ya 40,000/= per day.

Sasa ivi anatafuta mteja auze mbaya zaidi amekosa mteja mwaka wa pili sasa.
Aina gani hio gari?
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Ushauri wako mkuu ...me nina vitz old model nimetumia kwa miaka 3 sasa na nimeimudu bila shida..sasa nilijiwekea akiba ya pesa ..Nimejikuta natamani kumiliki Toyota Rumion ...Naomba kufahamu je kutoka kweny Vitz old model mpaka Rumion.. kimatumizi na kuhudumia gari ...Naweza kufit? Au nimesogea sana ..
Uko mule mule tu mkuu, hapo kilichobadilika ni body ya gari tu lakini engine ni zile zile tu na uwezo wa kuihudumia upo vyema tu
 
Linaweza kuwa mark II au Brevis kwa umbali wa chanika Posta hizo gari zinaweza kutumia mafuta ya 40k hasa kama kuna foleni kali.
Hata kama ila sio hvyo itakua gari haina matunzo brevis ambayo inatunzwa kwenye folen unatembea km 7 mpaka 8 kwa lita
 
Back
Top Bottom