Urban86
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 279
- 130
Tunauza mashine mpya za kutotolesha vifaranga.
Mashine zetu ni mpya na zenye ubora wa hali ya juu. Kwa sasa tunauza mashine za kutotolesha mayai 1056 na mayai 528. Inatumia umeme wa 220V na power consumption ni 200W (ya Mayai 1056) na 140W (ya mayai 528)
Sifa za mashine zetu:.
1. Zina mashine ya digitali(micro-computer) kwa ajili ya kudhibiti kiasi cha joto na unyevu.
2. Zina sehemu ya kuweka mayai na kutotoleshea vifaranga kwa pamoja.
3. Zina feni 2 ambazo husamabaza kiasi sawa cha joto na unyevu kwenye mayai
4. Zina mfumo wa kuzungusha mayai ili kupata kiasi sawa cha unyevu na joto.
5. Zinatumia kutotolesha mayai ya kuku, bata, bata mzinga, njiwa na ya ndege wengineo.
6. Zimetengenezwa kwa materials ambayo huweza kuhifadhi joto kwa hadi masaa 5 mara baada ya kukatika kwa umeme.
7. Zina ufanisi wa kutotolesha mayai kwa hadi 95% ya mayai kulingana na ubora wa mayai.
Vifaa vya Ziada
·-------- Pc 1 ya hita ya joto(Temperature heater)
·-------- Pc 1 ya tochi ya Mayai(Egg candel)
·-------- Pc 1 ya hita ya unyevu(Humidity heater)
·-------- Pc 2 za switch( limited switch)
Tunatoa waranti ya mwaka 1 na ushauri wa jinsi ya kutumia mashine hizi ili kuweza kupata ufanisi mkubwa.
Bei zetu ni poa sana. Mashine ya mayai 1056 tunauza 3,300,000/= na ya mayai 528 tunauza 2,300,000/=. Wasiliana nasi kwa namba 0783 095 169 na 0755 571604(Whatsapp) tupo Dar. Tunatoa usafiri bure kwa maeneo ya Dar na kama upo mkoani utalipia kiasi cha gharama za usafiri.
Karibuni sana
Mashine zetu ni mpya na zenye ubora wa hali ya juu. Kwa sasa tunauza mashine za kutotolesha mayai 1056 na mayai 528. Inatumia umeme wa 220V na power consumption ni 200W (ya Mayai 1056) na 140W (ya mayai 528)
Sifa za mashine zetu:.
1. Zina mashine ya digitali(micro-computer) kwa ajili ya kudhibiti kiasi cha joto na unyevu.
2. Zina sehemu ya kuweka mayai na kutotoleshea vifaranga kwa pamoja.
3. Zina feni 2 ambazo husamabaza kiasi sawa cha joto na unyevu kwenye mayai
4. Zina mfumo wa kuzungusha mayai ili kupata kiasi sawa cha unyevu na joto.
5. Zinatumia kutotolesha mayai ya kuku, bata, bata mzinga, njiwa na ya ndege wengineo.
6. Zimetengenezwa kwa materials ambayo huweza kuhifadhi joto kwa hadi masaa 5 mara baada ya kukatika kwa umeme.
7. Zina ufanisi wa kutotolesha mayai kwa hadi 95% ya mayai kulingana na ubora wa mayai.
Vifaa vya Ziada
·-------- Pc 1 ya hita ya joto(Temperature heater)
·-------- Pc 1 ya tochi ya Mayai(Egg candel)
·-------- Pc 1 ya hita ya unyevu(Humidity heater)
·-------- Pc 2 za switch( limited switch)
Tunatoa waranti ya mwaka 1 na ushauri wa jinsi ya kutumia mashine hizi ili kuweza kupata ufanisi mkubwa.
Bei zetu ni poa sana. Mashine ya mayai 1056 tunauza 3,300,000/= na ya mayai 528 tunauza 2,300,000/=. Wasiliana nasi kwa namba 0783 095 169 na 0755 571604(Whatsapp) tupo Dar. Tunatoa usafiri bure kwa maeneo ya Dar na kama upo mkoani utalipia kiasi cha gharama za usafiri.
Karibuni sana