INAUZWA Nunua mashine za kutotolesha vifaranga zenye ubora kwa bei poa

INAUZWA Nunua mashine za kutotolesha vifaranga zenye ubora kwa bei poa

Zote zipo dukani kwetu. Unahitaji ya mayai mangapi?

Zina ufanisi mkubwa, zinatumia umeme kidogo sana, full automatic na zina mfumo rafiki sana kutumia.

Zipo za mayai 60, 120, 180, 240, na 300.
Ya mayai 60 ni 420,000 ya mayai 120 ni sh 590,000 ya mayai 180 ni sh 690,000 ya mayai 240 Ni sh 840,000 na ya mayai 300 Ni sh 980,000

Tupo maeneo ya Ubungo external tunatazamana na shule ya Yusufu makamba barabara ya makuburi.

Tupigie/Whatsapp 0783095169 0755571604 au 0718106434View attachment 1300455View attachment 1300457View attachment 1300459

Sent using Jamii Forums mobile app
hapa mkuu nimeelewa kilicho baki ni wapi naweza kupata mayai ya kuku aina ya koloila na beizake zipoje kwa tray pia nitomba mawasiliano ;
 
hapa mkuu nimeelewa kilicho baki ni wapi naweza kupata mayai ya kuku aina ya koloila na beizake zipoje kwa tray pia nitomba mawasiliano ;
Hebu cheki na huyu jamaa anauza mayai ya kutotolesha
Screenshot_20200115-152831.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunauza mashine mpya za kutotolesha vifaranga.

Mashine zetu ni mpya na zenye ubora wa hali ya juu. Kwa sasa tunauza mashine za kutotolesha mayai 1056 na mayai 528. Inatumia umeme wa 220V na power consumption ni 200W (ya Mayai 1056) na 140W (ya mayai 528)

Sifa za mashine zetu:.

1. Zina mashine ya digitali(micro-computer) kwa ajili ya kudhibiti kiasi cha joto na unyevu.

2. Zina sehemu ya kuweka mayai na kutotoleshea vifaranga kwa pamoja.

3. Zina feni 2 ambazo husamabaza kiasi sawa cha joto na unyevu kwenye mayai

4. Zina mfumo wa kuzungusha mayai ili kupata kiasi sawa cha unyevu na joto.

5. Zinatumia kutotolesha mayai ya kuku, bata, bata mzinga, njiwa na ya ndege wengineo.

6. Zimetengenezwa kwa materials ambayo huweza kuhifadhi joto kwa hadi masaa 5 mara baada ya kukatika kwa umeme.

7. Zina ufanisi wa kutotolesha mayai kwa hadi 95% ya mayai kulingana na ubora wa mayai.

Vifaa vya Ziada

·-------- Pc 1 ya hita ya joto(Temperature heater)

·-------- Pc 1 ya tochi ya Mayai(Egg candel)

·-------- Pc 1 ya hita ya unyevu(Humidity heater)

·-------- Pc 2 za switch( limited switch)

Tunatoa waranti ya mwaka 1 na ushauri wa jinsi ya kutumia mashine hizi ili kuweza kupata ufanisi mkubwa.

Bei zetu ni poa sana. Mashine ya mayai 1056 tunauza 3,300,000/= na ya mayai 528 tunauza 2,300,000/=. Wasiliana nasi kwa namba 0783 095 169 na 0755 571604(Whatsapp) tupo Dar. Tunatoa usafiri bure kwa maeneo ya Dar na kama upo mkoani utalipia kiasi cha gharama za usafiri.
Karibuni sana
Vipi mnawezatengeneza automatically ya mayai 2000 ni bei gani
 
Moja ya wazo linaloweza kukuingizia kipato/fedha ni kufanya ufugaji wa kuku wenye tija.

Unaanza na wazo kisha kupata taarifa sahihi na kamili na hatimaye utekelezaji.
Mfano ikiwa umekwisha kujua wapi unapata incubator bora na ya uhakika, mayai bora ya kutotolesha, umeme unao, na unajua jinsi ya kuingia kwenye soko la mayai, vifaranga, kuku.
Imebaki wewe tu kuchukua hatua kwa kuanza mradi wako wa ufugaji na kujiweka kwenye nafasi ya kuwa na mafanikio uliyokusudia kuwa nayo kwa muda mrefu.

Karibu kwenye ofisi zetu utapata mashine za kutotolesha mayai (incubator) bora na za uhakika za kuanzia mayai 36, 64, 128, 210, 320 n.k
Bei zetu ni kama zifuatavyo;
Incubator ya mayai 36 ni Tsh.200,000.
Incubator ya mayai 64 ni Tsh 390,000.
Incubator ya mayai 128 ni Tsh 570,000.
Incubator ya mayai 210 ni Tsh 880,000 na
Incubator ya mayai 320 ni sh 950,000.
Wasiliana nasi kwa namba 0783095169 au 0755571604 au 0718106434
Unaweza pia kutembelea ofisi zetu zilizopo maeneo ya Ubungo external tunatazama na na shule ya msingi Makuburi Jeshini barabara ya makuburi.
Mkoani pia tunasafirisha kwa uaminifu mkubwa!
IMG_20200416_181913_055.jpg
FlyerMaker_19042020_125439.png
IMG_20200603_142851_360.jpg
Mini-Automatic-Egg-Incubator-192-Eggs-Incubator.jpg
 
Ukiwa na sola Incubator ya mayai 120 kila mwezi hutakosa vifaranga 100-115 (kulingana na ubora wa mayai).
Na ukiwa na mwendelezo mzuri kila mwezi baada ya miezi 4-5 utauza kuku wakubwa 90-100.

Incubator ya mayai 120 ni sh 570,000 tu. Ni full Automatic na inageuza mayai yenyewe. Inajiswitch kwenye sola automatic pale umeme unapokatika.

Tupigie/whataspp 0783095169 au 0755571604 au 0718106434.

Tupo Ubungo external tunatazamana na shule ya msingi Makuburi Jeshini barabara ya Makuburi karibu na Corner Lounge baa.

Start small and grow big!
Fuga kimkakati fuga kwa malengo ufugaji utakulipa.
FlyerMaker_18072020_114419.jpg
 
Kwa nini uwe na hofu ya kubadilishiwa vifaranga unapoenda kutotolesha mayai?
Kwa nini uwaache kuku waharibu mayai wanapokuwa hawataki kutamia?

Jipatie incubator za kisasa automatic, zinazogeuza mayai na kupokea umeme wa sola au wa tanesco na ofa ya drinker na feeder.

Zipo za mayai 64, 128 na 192 kwa sh 370,000 ya mayai 64, sh 570,000 ya mayai 128 na sh 680,000 ya mayai 192.

Tupo maeneo ya Ubungo External barabara ya makuburi tunatazamana na shule ya msingi Makuburi Jeshini baada tu ya sheli ya SimbaOil au jirani na Corner Lounge baa.

Tupigie/whatsapp 0783095169 au 0755571604. View attachment 1594701View attachment 1594702View attachment 1594704View attachment 1594703
IMG_20201007_165658.jpg
 
Mbona ghali hivyoo?, hiyo 500K ndio nafuu? [emoji23][emoji23][emoji23] anyway mashine zipo za mayai 700 kwa 1.2Mil full computerized

SHTUKA MKUU.
 
Incubator ya kisasa kabisa ya mayai 256.
[emoji214]Totolesha mayai ya kuku, bata, bata mzinga, njiwa na kanga.
[emoji212] Inatumia umeme au sola/betri ya 12v
[emoji212] Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 96%
[emoji213] Ni full automatic na inageuza mayai yenyewe.
[emoji214]INAKUPA URAHISI WA KUTOA NA KUWEKA MAYAI KWENYE TREI BILA YA KUZIMA INCUBATOR.
[emoji213]Utapata ofa ya vifaa vya kukuzia vifaranga bure.
Bei tsh 850,000 tu
IMG_20201125_170947.jpg
IMG_20201125_171043.jpg
IMG_20201205_092356.jpg
 
Kwa nini uwe na hofu ya kubadilishiwa vifaranga unapoenda kutotolesha mayai?

Incubator za mayai 36. Mpya kabisa. Zenye sifa hizi:
✓Automatic Temperature control
✓Automatic Eggs turn
✓Automatic Humidity control
✓Automatic Alarm
✓AC & DC/Solar powered
✓ Predefined settings temp& humidity
✓Ofa ya bure ya drinker na feeder

Tupo maeneo ya Ubungo External barabara ya makuburi tunatazamana na shule ya msingi Makuburi Jeshini, jirani na Corner Lounge baa.

Tupigie/whatsapp 0783095169

Bei ya incubator ya mayai 36 ni sh 200,000 tu.
IMG-20210217-WA0000.jpg
 
New Modern improved Incubator 560eggs

✓Automatic Temperature control
✓Automatic Eggs turn
✓Automatic Humidity control
✓Automatic Alarm
✓Automatic system for adding water
✓AC 220V + Free 1200W inverter for DC
✓ Predefined settings available
✓Available sizes 560eggs capacity
✓Equal numbers of Setting & Hatching trays
✓Hardbody can maintain temperature up to 6hrs after power cut off

Tupo maeneo ya Ubungo External barabara ya makuburi tunatazamana na shule ya msingi Makuburi Jeshini, jirani na Corner Lounge baa.

Tupigie/whatsapp 0783095169
IMG_20210517_103805_765.jpg
IMG_20200906_183720.jpg
IMG_20200906_183619.jpg
IMG_20200906_152429.jpg
 
Incubator mpya za kisasa, imara za muundo wa pekee na tayari zipo ofisini kwetu.

Ni ngumu na zenye mfumo wa kisasa. Hakika hutajutia thamani ya pesa yako.
Hii sio ya kuikosa hata kidogo. Mwambie na rafiki yako.

Tupigie/whatsapp 0783095169 au 0755571604.

Ofisi ipo jirani na Corner Lounge baa na opposite na shule ya msingi Makuburi Jeshini maeneo ya Ubungo External.

Karibuni sana!View attachment 1812139View attachment 1812142
IMG-20210605-WA0037.jpg
View attachment 1812140View attachment 1812141View attachment 1812143View attachment 1812144
 
Incubator ya mayai 36 ni incubator nzuri na sahihi ya kuanzia kujifunzia utotoleshaji kama ndio unataka kuanza ufugaji wa ndege.

Ni rahisi kuitumia, tayari imeshasetiwa, ni automatiki na inageuza mayai yenyewe pia inatumia umeme kidogo sana (35watts)

Utaipata kwa ofa ya sh 200,000 tuu.
Tupigie/whatsapp 0783095169 au 0755571604
FlyerMaker_12022021_190742.jpg
 
Back
Top Bottom