Kuna mtu aliagiza mzigo Aliexpress NovemberDadeki..[emoji28]
Ukitaka ufike mapema zaidi tumia wasafirishaji Kama dhl n.k ila gharama zake usinune.. halafu mbona imekuchukua muda mrefu hivyo maana najua free shipping huwa ni mwezi Sasa wewe duh! Au ndo tuseme corona..[emoji12]
Sio corona wala niniYes Corona ilichangia mzigo kuchelewa. DHL bei mkasi sana wana App yao pia nilijaribu daah ni changamoto sana upande wa charges.
Siyo kwamba aliharibu hapana mkuu, Alibaba kule ni B2B na aliexpress ni B2C ,Sitaki kuharibu biashara ya mtu lakini kulinishinda kule ...hata hivyo haya maduka mawili ya mtandaoni inaelekea mmiliki ni mmoja.
Ilianza Alibaba ilipoharibu akaja na Aliexpress nadhani....kwakuwa icloud inasoma Alibaba.
By the way ulikuwa unahitaji vitu gani?
Mshana mi nataka ka godoro kadogoSina roho ya korosho wala choroko....kizuri tule wote...nikipata mimi umepata wewe...amepata yeye...wamepata wao..tumepata sote
The Hisense 65'' Class 4K Ultra HD (2160P) HDR Roku Smart LED TV 65R6E cost $300 USD includng te shipping fee to your delivery address
If you buy 2 units you get 1 free
If you buy 5 units you get 3 free
All charges are already included with the given price
Delivery Method : We will make delivery to you at your doorstep in your country via DHL / FedEx / Aramex or UPS and you will get your order within 72 hours (3 days) without no delay
Payment Mode : The appropriate method of payment for your order is CashApp , Zelle , Bitcoin , Western Union or MoneyGram for fast and effective delivery , and also be rest assured that your order safety is fully guaranteed
To place an order with us we want you to get back to us with your full shipping address for delivery in the following format below:
1)Full Buyer Names :
2)Address :
3)City :
4)Country :
5)Postal or Zip Code :
6)Phone Number :
7)How Many Pieces Do you need now :
8)Order(What You Are Buying) :
9)Color :
10)E-Mail :
Mpaka kuipata mkononi bei gani?Bei ya juu ndio halisi lakini pia inaweza kuwa ya kati au hiyo ya mwisho
Jr[emoji769]
Nakazia hapaMimi nahitaji msaada wa kuship kwa haraka kutoka AliExpress, last time niliagiza mzigo March umefika Dar July hii na bado mmoja haujafika.
Year kanafanana na ka mwanzoni ila kenyewe kadogo ka kulaliwa na mtu mmoja na unaweza kukakunja ukaenda nako hata msibani, au kulala sehemu nyingine za dharula
Don't try it anywhere.... Usijaribu utajutaNAKUAMINI NDIO MAANA NIKATAKA UNITOE TONGOTONGO NDUGU YANGU [emoji915]
Safi sana hii, hapo na TRA wanakata ,% ya shiling ngap
1.AliExpress standard shipping ndio njia salama ambayo AliExpress wenyewe wanaiamini na kuitumia. Ndio maana sellers wengi wanaitumia. Percels zote zinapitia Singapore post kwa kuitumia AliExpress standard shipping.Wakuu habar za wakati
Mimi nataka kuagiza simu kupitia app ya Ali Express
Kweny upande wa payment kulikua na option ya web money na nyingine ya visa, Master card ect
Nimeiweka Master card yng ya Crdb na ku isave kwa ajili ya malipo mengine
Je ni salama?
Maana nimeona watu wakitumia M- pesa Master?
Je hii ni njia bora kuliko zingine?
Na sikuona hii option ya Mpesa Master card labda mtu anieleweshe vzr
Pia kweny shipping naona ipo ya ali express standards shipping (unavailable tracking) na Ali Express primeum (available tracking number)
Swali je Ali Express hana free shipping?
Na je vipi kuhusu izo Singapore Post mbona haipo option yke?
Naomba kueleweshwa
Maana seller karibu wote nilio waona wanatumia ali express standards shipping
Note: Mimi sijawahi kufanya hiki kitu naitaji muongozo!