House4Sale Nunua nyumba Kibaha mjini kwa mkuu wa mkoa

House4Sale Nunua nyumba Kibaha mjini kwa mkuu wa mkoa

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38]
Humu ndani wengine wanakuwa hawapo serious sema ni sehemu ya biashara.
 
Nyumba ipo kibaha mkoani A au maarufu kama kwa mkuu wa mkoa nyumba ina makaratasi yote ya umiliki yapo umeme na maji vyote vipo ukubwa wa eneo lina upana wa mita 20 na urefu wa mita 30 (20×30) bei ni 50,000,000tsh (shilingi milioni 50) mazungumzo yapo kidogo kwa mawasiliano 0652746359.
View attachment 832570View attachment 832571View attachment 832572View attachment 832573View attachment 832574View attachment 832575View attachment 832576View attachment 832577View attachment 832578View attachment 832579
Nyumba imechoka sana
 
BOMOABOMOA.jpeg

Mbona mnataka kuwaumiza binadamu wenzenu? Wewe si unaona kabisa ipo ndani ya hifadhi ya barabara?
 
Duu mkuu unataka kukimbia hapo road mapema kijanja, waulize wakazi wa kuanzia kimara mpk kiluvya watakueleza mita 120 ninini.
 
Cjaona cha kuuza hizo hela mkuu, nimeona barabara tuu hapo
 
Hilo ni gofu sio nyumba, bei uliyo anzia sio ,inakatisha tamaa
 
Back
Top Bottom