House4Sale Nunua nyumba Kibaha mjini kwa mkuu wa mkoa

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38]
Humu ndani wengine wanakuwa hawapo serious sema ni sehemu ya biashara.
 
Nyumba imechoka sana
 

Mbona mnataka kuwaumiza binadamu wenzenu? Wewe si unaona kabisa ipo ndani ya hifadhi ya barabara?
 
Duu mkuu unataka kukimbia hapo road mapema kijanja, waulize wakazi wa kuanzia kimara mpk kiluvya watakueleza mita 120 ninini.
 
Cjaona cha kuuza hizo hela mkuu, nimeona barabara tuu hapo
 
Hilo ni gofu sio nyumba, bei uliyo anzia sio ,inakatisha tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…