fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Usitegemee ulete kitu humu kudanganya watu Kisha uachweUmetumwa nini aisee...?.
Jamaa yuko chini kwa bei kuna mtu anauza viatu humu cha 60,000 lakini huyu jamaa anauza kwa 48,000 usifanye tuwaharibie watu biashara zao kiongozi...!
Hujui hili ni jukwaaa huru.
Vutu vyake bei kubwa,tembelea huko kkoo anapsema usiende uone