INAUZWA Nunua viatu hapa kwa bei ya Kariakoo

Umetumwa nini aisee...?.

Jamaa yuko chini kwa bei kuna mtu anauza viatu humu cha 60,000 lakini huyu jamaa anauza kwa 48,000 usifanye tuwaharibie watu biashara zao kiongozi...!
Usitegemee ulete kitu humu kudanganya watu Kisha uachwe
Hujui hili ni jukwaaa huru.

Vutu vyake bei kubwa,tembelea huko kkoo anapsema usiende uone
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Yani chief umegusa mulemule..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…