Tumbe ukweli wake mkuu Kama hutojaliMes...
Usiwaite wazembe.
Hawa ndugu zetu hawakuwa wanaijua historia hii.
Tuna wajibu wa kuwaeleza kuwa ile historia ya Chuo Cha CCM Kivukoni imekosewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbe ukweli wake mkuu Kama hutojaliMes...
Usiwaite wazembe.
Hawa ndugu zetu hawakuwa wanaijua historia hii.
Tuna wajibu wa kuwaeleza kuwa ile historia ya Chuo Cha CCM Kivukoni imekosewa.
Ruhi,Tumbe ukweli wake mkuu Kama hutojali
Mbogo...Kwenye vitabu vyako.
Babu yangu aliwahi kuniambia Nyerere alikuwa anampenda sana na kumuamini Rashid Kawawa....Na Kawawa alikuwa muislam....Napata shida kusikia nguvu ya waislam ilimtisha Nyerere.
Bulesi,Umepatia hapo kwa Othman Chande kuwa professor wa Kemia lakini mdogo wake Mohamed Chande hakuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali [ Attorney General] bali alikuwa Chief Justice ; nadhani Kiswahili chake ni JAJI MKUU!!
Ruhi,Tumbe ukweli wake mkuu Kama hutojali
Bulesi,Kama Nyerere angekuwa mdini angepata taabu sana kuliunganisha taifa la Tanganyika ; hivyo kuyaunganisha makabila yote 126 iliwezekana tu pale alipofanikiwa kufuta kabisa ubaguzi wa aina yeyete baina ya watu.
Nadhani historia ya TANU ilianzia kwenye uchaguzi uliomchagua Nyerere,....huko nyuma ni harakati zilizokuwa na changamoto nyingi sana... Ally na Abdul hawakuwa viongozi wa juu wa TANU.Ruhi,
Historia ya TANU inaanza na ukoo wa Sykes 1929.
Jopo la waandishi wa Chuo Cha CCM Kivukoni wameifuta historia hii na kuanza na Julius Nyerere 1953.
Katika waasisi wa TANU kuna ndugu wawili Abdul na Ally Sykes.
Hawa kadizaoza TANU ni No. 2 Ally na No.3 Abdul.
Hawa ndiyo waliompokea Nyerere katika TAA 1952.
Hawamo katika kitabu cha Kivukoni.
Vito...Nadhani historia ya TANU ilianzia kwenye uchaguzi uliomchagua Nyerere,....huko nyuma ni harakati zilizokuwa na changamoto nyingi sana... Ally na Abdul hawakuwa viongozi wa juu wa TANU.