L liganga4 JF-Expert Member Joined Aug 29, 2010 Posts 293 Reaction score 195 May 25, 2021 #21 Fabio santolo said: Magazeti ya kibongobongo sio ya kuyaamini sana, utakuta tu li-mtu limeamua tu kutunga, na wala Nurkovic hata hajasema. Click to expand... Maswali ya waandishi wetu ndiyo yanayotengenza hayo majibu. Mtu anauliza unamuonaje chama? Jibu lazima liwe chama ni mchezaji mzuri.
Fabio santolo said: Magazeti ya kibongobongo sio ya kuyaamini sana, utakuta tu li-mtu limeamua tu kutunga, na wala Nurkovic hata hajasema. Click to expand... Maswali ya waandishi wetu ndiyo yanayotengenza hayo majibu. Mtu anauliza unamuonaje chama? Jibu lazima liwe chama ni mchezaji mzuri.
Latha Latha jr Member Joined May 9, 2021 Posts 6 Reaction score 6 May 25, 2021 #22 denooJ said: duh!. Click to expand... Huyu jamaa nahisi amejielekeza vibaya[emoji23]
W wazunguwawili JF-Expert Member Joined May 29, 2019 Posts 3,984 Reaction score 4,132 May 26, 2021 #23 nguvu said: Boko wasimpe hata mia, sehemu za kugusa yeye anapiga shuti, sehemu ya kutoa pasi yeye shuti hata goli la pili asingekuwa karibu na goli angepaisha, imagine ukaribu ule na goli bado mpira ulipiga nyavu ya juu. Click to expand... Duh... winning pressure mzee achana nayo.
nguvu said: Boko wasimpe hata mia, sehemu za kugusa yeye anapiga shuti, sehemu ya kutoa pasi yeye shuti hata goli la pili asingekuwa karibu na goli angepaisha, imagine ukaribu ule na goli bado mpira ulipiga nyavu ya juu. Click to expand... Duh... winning pressure mzee achana nayo.
Fabio santolo JF-Expert Member Joined May 21, 2021 Posts 321 Reaction score 241 May 26, 2021 #24 Isaac said: Huko kwenu Gamboshi magazeti yanakuwa na sauti siyo? Click to expand... Tangu lini nurkov akawa mwandishi wa magazeti
Isaac said: Huko kwenu Gamboshi magazeti yanakuwa na sauti siyo? Click to expand... Tangu lini nurkov akawa mwandishi wa magazeti