denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Yule striker wa Kaizer Chiefs aliewafunga Simba goli mbili peke yake timu yake ikiibuka na ushindi wa magoli manne, amekisifu kikosi cha Simba SC kwa kandanda safi waliloonesha kwenye mchezo wa marudiano ambapo Simba iliibuka na ushindi wa magoli 3-0 na kukitabiria kufika mbali miaka ya mbeleni.