Ronzobe B29
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 242
- 89
Ndugu wana jf natumain m_ wazima wa afya uzi
M napenda sana kujiajiri ili niwe free na mambo yangu na harakati zingine za maisha . Nilikua napenda kuuliza wanabodi wenzangu ,Ivi kunauwezekano wa nurse mwenye degree kufungua duka la pharmacy bila ya kutumia cheti cha mufamasia .
Naje kunavitu gani vya kuzingatia wakati wa kuanzisha hiyo pharmacy .
Hivo naomba mwenye uelewa anitonye/atutonye kwa sababu sitafaidika m peke angu katika uzi huu.
M napenda sana kujiajiri ili niwe free na mambo yangu na harakati zingine za maisha . Nilikua napenda kuuliza wanabodi wenzangu ,Ivi kunauwezekano wa nurse mwenye degree kufungua duka la pharmacy bila ya kutumia cheti cha mufamasia .
Naje kunavitu gani vya kuzingatia wakati wa kuanzisha hiyo pharmacy .
Hivo naomba mwenye uelewa anitonye/atutonye kwa sababu sitafaidika m peke angu katika uzi huu.