Nurse claims black patients are being ‘Murdered’ with ‘Gross Negligence’ at NY Hospital amid COVID-19 Crisis

Nurse claims black patients are being ‘Murdered’ with ‘Gross Negligence’ at NY Hospital amid COVID-19 Crisis

Kwa taarifa yako wengi wao hawataki hata kujua mambo ya Afrika na wanaiponda, wanajiita African American ili wasiitwe black people kwa sababu wanadai ni ubaguzi. Ni wachache sana wanaotaka kuja kwenye jalala Afrika, kwao wanaishi vizuri zaidi hata kama ni masikini, na wengi wao ni matajiri hata wenye banks.

Wacha watuponde tu maana na sisi tulivyo tunapaswa tupondwe na kila jamii, kazi yetu kuzaliana na kuomba omba misaada, hata mimi ningekua huko kwao ningewaponda sana Miafrika.

Au humu JF huwa hauoni wenzetu waliokwenda ughaibuni na kuishi huko wanavyopenda kusema "Miafrika ndivyo tulivyo", mtafute nyani gabu....
 
Aliyekuambia America ni kwa ajiri ya wazungu nani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wazungu waliwashinda ujanja wengine wote wanaoishi huko au waliowakuta huko, dunia hii ishi kibabe utafaulu, acha ulegelege na kuomba uonewe huruma maana haina huruma.....hata hapo kitaa ukijifanya myonge utaliwa na kubaki uchi.
 
Mtu mweusi akinyanyaswa au kuuliwa na polisi mzungu watu wanasema watu weusi wana matatizo hivyo wanabariki huo unyanyasaji kwamba mtu mweusi ameyataka,ila mtu mweusi huku afrika akinyanyaswa na polisi muafrika inaonekana tatizo ni polisi wa afrika.
 
Si mnawaabudu? Anyway, hii kitu ni kweli, tena sio through negligence, physical murder.Inatisha sana. Euthanasia, kuua watoto wachanga, tena eti kisheria, kwao sio dili. Wameua wazee kwenye nyumba za wazee, mpaka karibu wanawamaliza, sasa hili litakuwa ajabu, hapana. Hawa watu ni waovu sana.
Hahaha hapa TZ bado wapo watu 'wanawaabudu' wazungu
 
Kwa taarifa yako wengi wao hawataki hata kujua mambo ya Afrika na wanaiponda, wanajiita African American ili wasiitwe black people kwa sababu wanadai ni ubaguzi. Ni wachache sana wanaotaka kuja kwenye jalala Afrika, kwao wanaishi vizuri zaidi hata kama ni masikini, na wengi wao ni matajiri hata wenye banks.
Hio Ina prove how stupid they are, ni waafrika tu watake wasitake kamwe hawawez kuwa wazungu
 
Back
Top Bottom